Makabila mengi yenye wanawake wazuri kama Wapare wanapewa sifa ya kuwa malaya kwasababu ya wivu wa kijinga

Makabila mengi yenye wanawake wazuri kama Wapare wanapewa sifa ya kuwa malaya kwasababu ya wivu wa kijinga

Masandare kule wake za watu walikoma. Miaka ya 1991-1994 Kuna mwanafunzi (anaishi Shaban Robert) alikua ana hela anakula mke wa Headmaster kila weekend kwenye gest pale karibu na posta same mjini
Hahaha, mkuu wewe ni mwanasame halisi ,ila watoto wa kipare wanajua nini maana ta shanga iwe wamama au binti zao .
 
Sema kulikua na shida kubwa ya maji. Wanafunz wanapenda kuchota Steshen ukileta ndio ndo unapewa ugali
 
Mimi ni mtafuta riziki na nimejiajiri.
Katika mishe zangu, nimeishi Mwanga, nimeishi kihurio, nimeishi hedaru, nimeishi Ndungu. Sipendi kuweka wazi hapa ila hawa ndugu zako wanahitaji maombi

😃😃
Maombi ya nini Mkuu?
Hujaishi kwetu Makanya?
 
Umalaya upareni Ni kama Bukoba tu

Umalaya upi?,
Kiashiria kipi kimekufanya uamini upareni kuna umalaya?
Kiwango cha mimba za wanafunzi kikoje?
Kiwango cha maambukizi ya ukimwi kikoje kwa ngazi ya kitaifa? Je huko upareni tupo top 10?
 
Upareni kote Sera ni umalaya. Enzi hizo HEDARU ndo ilikua makao makuu ya Umalaya - Malori yanaweka kambi hapo kila gesti imejaa Malaya wa kupigwa miti

Uwepo wa Malori sio kigezo cha kusema pale kuna umalaya.

Vipi huko upareni maambukizi ya ukimwi wapo top 10 kitaifa? Kama hawapo iweje useme kuna umalaya?
Vipi wanafunzi kubeba mimba wakiwa shuleni je upareni wanaongoza? Kama hawaongozi nini kinakufanya useme upareni wana umalaya?

Vipi mambo ya ugoni, je kitaifa unaweza kukaa miaka mingapi hujasikia mauaji yanayosababishwa na wivu wa mapenzi au mafumanizi huko upareni?

Au ninyi ni indicators gani mnatumia kusema Wapare ni Malaya?
 
Uwepo wa Malori sio kigezo cha kusema pale kuna umalaya.

Vipi huko upareni maambukizi ya ukimwi wapo top 10 kitaifa? Kama hawapo iweje useme kuna umalaya?
Vipi wanafunzi kubeba mimba wakiwa shuleni je upareni wanaongoza? Kama hawaongozi nini kinakufanya useme upareni wana umalaya?

Vipi mambo ya ugoni, je kitaifa unaweza kukaa miaka mingapi hujasikia mauaji yanayosababishwa na wivu wa mapenzi au mafumanizi huko upareni?

Au ninyi ni indicators gani mnatumia kusema Wapare ni Malaya?
Wapare umalaya wao hauwi reported kwenye takwimu za kitaifa. Ila ni MALAYA haswa
 
Back
Top Bottom