Makabila mengi yenye wanawake wazuri kama Wapare wanapewa sifa ya kuwa malaya kwasababu ya wivu wa kijinga

Hauna Takwimu kusema wapare ni malaya we kabila gani sio malaya? Hata wahaya mnawaonea kisa walikuwa na madanguro siku hizi hadi wamasai ni malaya (baadhi)? Each and every tribe has good and evil people.
Namuomba Mungu aniepushe na moto wa jahanam na hapa duniani aniepushe na wanawake wa kipare
 
Namuomba Mungu aniepushe na moto wa jahanam na hapa duniani aniepushe na wanawake wa kipare
Lazima ulitendwa na mpare wewe sio bure kulaani kote nyway kila jamii ila vimbegu vya uwema na uhuni vile vile
 
Lazima ulitendwa na mpare wewe sio bure kulaani kote nyway kila jamii ila vimbegu vya uwema na uhuni vile vile
Wanawake wa kipare hawana wema wowote alafu wanaendekeza uchawi
 
Japo mi light skinned ila ulichoongea ni ukweli Kuna mablack Africans wazuri mpaka wanakuijia ndotoni
Damn
 
Aliyepanga hiyo list ya makabila yenye wanawake wazuri tanzania alifanya utafiti wapi,lini na kwa muda gani? Eti wairaq,wapare nk,nk wasukuma hakuwaona au kwa vile wasukuma hawapo mjini? Huyo mtafiti arudi tena kufanya utafiti wake,manake alikuwa anaangalia tu wanawake wanaojipamba ndo wazuri. Inatakiwa ajue kuwa licha ya wasukuma kutojionesha uzuri wao,kushnda mbugani,machungani,kupikia watu ishirini kunyonyesha,kupigwa nk,wasukuma bado ni wazuri,akioga na kujiremba kwa sku mbili tu hata miss tanzania akasome.
 

Mkuu Wasukuma ni wazuri wa kawaida na wengi Wana sura za Baba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…