Makabila mengi yenye wanawake wazuri kama Wapare wanapewa sifa ya kuwa malaya kwasababu ya wivu wa kijinga

Mleta mada badala ya kuchutama unakuja kufungua mada ya kujichoresha zaidi? [emoji3][emoji28]

Muungwana akivuliwa nguo huchutama.

Sasa wewe unakuja kujifunua nyevu jamani?!
 
hivi wewe unayesema wapare wazuri, ni wapare wa wapi hao na ufupi ule? au huwajui wapare?
 
Wapare hawajawahi kutajwa kwenye umalaya wala kwenye uzuri. Sifa zao kuu ni mbili tu, ufupi na ubahili. Labda wewe Taikuni ndo unataka kuwaanzishia hayo maneno. Wambulu, warangi na wanyaturu ndo wamekuwa wakitajwa sana kwenye hizi tabia za kugawa papuchi hovyo. Ushahidi ni mwingi sana. Wana matukio mengi. Kuna mtanzania kwa kabila Mbulu anatrend mtandaoni kubadili jinsia kutoke ME kwenda KE.
 
wapare kwenye umalaya wapo ndugu. mtaniwia radhi wapare kama nitawakwaza. umalaya, ubahili, uchoyo, wivu, uchawi na ufupi. kama nadanganya semeni. kama ulishawahi kufanya kazi au biashara na mpare usiijue roho yake basi ulipigwa dawa usiwajue.
 
Mkuu,
Makabila yote yana me na ke wapenda ngono, yaani huwezi kusema "kabila x ni super specialized" wa ngono!


Kuna kuzidiana.

Kwa kuangalia wastani wa wengi jinsi wanavyoenenda ndipo kisha jamii ina conclude kuwa kabila fulani wako hivi na vile lakini huwa sio wote 100% Ila walio wengi kwa wastani unakuta ni kweli wana behave hivyo vinavyosemwa.

Take time fuatilia ishi nao jirani jamii moja utakuja kuona.
 
Jiandae kuzikwa muda si mrefu



Mchaga na pesa ni hatari
 
Exactly, sunnah wangu mbona katulia sana, ananipenda mnooo [emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…