Makabila na jinsi wanavyoshangaa

Hapo kwenye namba 3 huko sio kushangaa,hicho ni kiungo cha uzazi cha mwanamke kwa kichaga,usitaje hio mbele ya MTU unaemheshimu km mama nk,wamezoea tu kutamka ila anapotamka anaangalie na watu alionao na heshima zao ndo maana cku hiz hata akitamka halisemi vizur ukaelewa,ana kua km anabadili matamshi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…