fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
Hapo kwenye namba 3 huko sio kushangaa,hicho ni kiungo cha uzazi cha mwanamke kwa kichaga,usitaje hio mbele ya MTU unaemheshimu km mama nk,wamezoea tu kutamka ila anapotamka anaangalie na watu alionao na heshima zao ndo maana cku hiz hata akitamka halisemi vizur ukaelewa,ana kua km anabadili matamshiHello JF members
Hebu tuangalie makabila ya Tanzania na jinsi watu wake wanayo shangaa...
1. Waarusha/masai - shee...
2. Wa haya - shoo...
3. Chaga - mburaa/mbuta
4. Bondei - boo
5. Sambaa - tee...
6. Sukuma - ishh/hiiii...
Kabila lako wanashangaaje?
Wanyaturu wanaekaga ugoro kweny anus ili wapate stim kaliWanyaturu-yuu!
Kwani usipomtaja jpm comment yako inakuwa na mapungufu?? Inamaana bila jpm hakuna wasukuma??Wasukumaa hiiiiiiiiiiiiiii rip jpm
Mbona haiendani na mada mkuu??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanyaturu wanaekaga ugoro kweny anus ili wapate stim kali
MmmmhWamakonde ,wayao,na,wamakua. BAAAAH
jooo jooohWanyakusa =mweee
Hahaaaaaaa nilisahaujooo joooh
Juuuuuu juuuuu sio joooo[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]jooo joooh
zote zinatumikaJuuuuuu juuuuu sio joooo[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Jooh jooh mbombo ngafu [emoji23]Hahaaaaaaa nilisahau
wamakua - ooohWamakonde ,wayao,na,wamakua. BAAAAH
Nomaaaaaa eti hu hu hu hu like dog barkingwahehe-- hu hu hu hu huuu ( dog like)[emoji23]
Hahahaha baaahzote zinatumikaJooh jooh mbombo ngafu [emoji23]wamakua - oooh
Wamakua mda mwngne wanasema mmaaaaaahzote zinatumikaJooh jooh mbombo ngafu [emoji23]wamakua - oooh
mmaa ni mama pale watoto wanapowaita mama zaoWamakua mda mwngne wanasema mmaaaaaah