Makabila na jinsi wanavyoshangaa

Makabila na jinsi wanavyoshangaa

Hello JF members

Hebu tuangalie makabila ya Tanzania na jinsi watu wake wanayo shangaa...
1. Waarusha/masai - shee...
2. Wa haya - shoo...
3. Chaga - mburaa/mbuta
4. Bondei - boo
5. Sambaa - tee...
6. Sukuma - ishh/hiiii...
Kabila lako wanashangaaje?
Hiyo ya wabondei Boo
na wasambaa TEE. napinga
 
Hello JF members

Hebu tuangalie makabila ya Tanzania na jinsi watu wake wanayo shangaa...
1. Waarusha/masai - shee...
2. Wa haya - shoo...
3. Chaga - mburaa/mbuta
4. Bondei - boo
5. Sambaa - tee...
6. Sukuma - ishh/hiiii...
Kabila lako wanashangaaje?
Wafipa-Khaaaa!!!!
 
Wakaguru-Cho!
Hello JF members

Hebu tuangalie makabila ya Tanzania na jinsi watu wake wanayo shangaa...
1. Waarusha/masai - shee...
2. Wa haya - shoo...
3. Chaga - mburaa/mbuta
4. Bondei - boo
5. Sambaa - tee...
6. Sukuma - ishh/hiiii...
Kabila lako wanashangaaje?
 
Back
Top Bottom