Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Sumaye siyo Muiraqw yule? Mbona hatujauona huo uongozi wake uliotukuka?Wairaqw ndio kabila pekee Tanzania lenye watu serious, hakuna mwiraqw Fisadi, hawajui kusema uongo, ni wapole lakini wapo serious na kazi, hawapendi kuonewa wala kuona mtu anaonewa, hawadanganyiki. Kama Tanzania inahitaji maendeleo ya haraka basi itutumie vizuri kuongoza nchi.
stroke Rudi secondary school hasa form two na uzingatie sana somo la History na Civics, Haya ndiyo madhara ya kusoma shule za kata sasa.
Umehitimu mpaka degree ulipata lakini hata historia ya nchi yako hujui?
Yaani wewe ni mchokozi sana haya bana
wahaya kuna mdada alifukuzwa uganda alibeba mimba hakujua aliempa mimba maana alikuwa ametembea na wanaume wengi akakimbilia kagera ndo maana wanapenda sana kk security
Tairi ndio kitu gani?
Kutairiwa, ama tohara...............
Yani hadi hapo hujastuka tu? huoni tofauti ya rythm ya "tairi" na tohara? Unafahamu tofauti ya tairi na tahiri??:whistle::whistle::whistle:
My sister kaniambia eti ukiolewa na mtu kutoka kabila wanao tairi wanawake, ukienda kijijini kwao wakijua kama kwenu hamtairiwi basi wanakukamata kwa nguvu na kufyeka, kweli au msemo?.
Kwaiyo ningependa kujua makabila gani wanatairi wanawake nchini Tanzania?
My sister kaniambia eti ukiolewa na mtu kutoka kabila wanao tairi wanawake, ukienda kijijini kwao wakijua kama kwenu hamtairiwi basi wanakukamata kwa nguvu na kufyeka, kweli au msemo?.
Kwaiyo ningependa kujua makabila gani wanatairi wanawake nchini Tanzania?