Makabila ya Tanzania: Tamaduni zao na Historia yao

Makabila ya Tanzania: Tamaduni zao na Historia yao

Dada zao sasa!
Kama unapajua Arusha unaelewa nazungumzia nini.

Ninaposema wairaqw namaanisha wambulu original, sio hata wale wanaojifanya nao ni wairaqw au wanaoishi maeneo hayo, sababu kuna wasomali nao wanajiita wairaqw. dada zetu wa kiiraqw hawana hiyo tabia.
 
Ninaposema wairaqw namaanisha wambulu original, sio hata wale wanaojifanya nao ni wairaqw au wanaoishi maeneo hayo, sababu kuna wasomali nao wanajiita wairaqw. dada zetu wa kiiraqw hawana hiyo tabia.
BIG X Hao wengine ni kabila gani ambao hutaki kutaja hilo kabila lao kila mtu akisema anavyowajua unasema sio wairaqw sasa ni kabila gani?
Kwa sababu nijuavyo mimi Sumaye ni wairaqw hawa na kama siyo nisahihishe leo kwa kuniambia ukabila wao.
 
Last edited by a moderator:
hawaaminiki kwani hawana asili ya tanzania wana asili ya iraq uarabuni hao,hivyo lazima watatuzingua tu,wageni hao,sio wa kuwaamini sana
 
Na maendeleo yaliyopo kule huwezi linganisha na kwa jahkaya.watu wanapiga kazi sio usharo na kunywa na kucheza bao
 
kwenye miji yao kila kona nizile nyumba za wageni za chapchapu.Vile vile ni wabaguzi kupindukia, nimesoma nao A-level.
 
Ukabila!! Ukabila!!
Mkuu bampani umeona eeh! Nafanya nao kazi niwabinafsi, wakabila mbaya, Utasikia tu Saitaa... Saiyuu, Hydomaa... Hydori, ila dada zao yaani ma-decii wakarimu sana they never say no!
 
Mkuu bampani umeona eeh! Nafanya nao kazi niwabinafsi, wakabila mbaya, Utasikia tu Saitaa... Saiyuu, Hydomaa... Hydori, ila dada zao yaani ma-decii wakarimu sana they never say no!

Upumbavu mtupu hao watu ni wakarimu sana na wachapa kazi ndio maana maendeleo wanayo sana
I
 
Wadau , nahitaji msaada wa kitabu ambacho kina mtiririko mzuri wa historia na matukio ya nchi yetu..nikimaanisha historia ya Tanzania Kabla ya Kuwa Tanzania , na baada ya kuwa Tanzania.
 
Laiti Nyangwine bado angalikua ni Nyagwine yule yule wa miaka ile BILA kujiunga na mafisi nyakua nyakua hawa pengine nisingekua na shka yoyote moyoni kukuagiza kwake ukapata kitabu kama hicho bila hata nukta kupindishwa.

Lakini leo hii nikifanya kosa la kukuagiza kwake pengine unaweza ukarudi kwangu na lawama kemkem ukija kugundua jinsi gani anavyosifia historia ya UFISADI nchini ilivyowaletea sehemu ndogo ya jamii yetu si tu utajiri wa kupindukia bali zaidi mikogo ya ki-shujaa ndani ya taifa letu.

Banae, labda kamuone Prof Shivji japo sina uhakika.
 
Wadau , nahitaji msaada wa kitabu ambacho kina mtiririko mzuri wa historia na matukio ya nchi yetu..nikimaanisha historia ya Tanzania Kabla ya Kuwa Tanzania , na baada ya kuwa Tanzania.
ni ngumu sana kuipata na hasa kupata ukweli kwani mtuhumiwa namba moja aliyepindisha historia ya nchi yenu ni aliyekuwa baba yenu wa taifa lenu. Haijalishi kuna mtu atachukia au la. that is the fact.
 
Mpaka sasa sijakiona ndio maana naulizia wadau kama kuna aliyewahi kiona nijipatie...tumekalia siasa tu mambo ya muhimu kama haya hayapewe kipaumbele
 
Kwa hili nakuuunga mkono, kweli Wairaqw wapo serious. Nimefanya nao kazi kwenye baadhi ya vijiji huko Mbulu, kweli ni waaminifu, lakini usiombe ukaonyesha kuwadharau ujue umeumia. Pili nawapongeza sana kwa usimamizi kwenye ujenzi wa shule za sekondari za kata, yaani ni za kiwango hakuna kuchakachua.

Na huu ndiyo ukweli!

ila mi mzinzi
 
sikumbuki kusoma historia ya tanganyika,ila namkumbuka tup tupa tip,huku tanganyika hivi tulitawaliwa na waarabu au wahindi au wasomali???!!!(tukiacha maeneo yenye fukwe za bahari)
na ninavyosikia warabu peke yao ndio walikuwa wanawatumwa miaka hiyo,wazungu walikuwa wema sana kwa waafrica,na ukitaka uhakikishe hili waulize black america wote wa marecani walifikaje huko??!!!na kwa njia zipi walifika??!!
 
na swali la muhimu zaidi ili tujue watanzania ni madhaifu au mashujaa!!!
hivi uhuru wetu tanganyika tuliupigania au tulipewa tu??!!kwa kuwa walikula mpaka walishiba wenyewe!
kwa wazanziberi(wazinzi)kule tuliwachinja sana warabu kina mama watoto wazee vijana na tuliwazika kwenye visima kwa pamoja yakawa ndio makaburi yao,walikuwa wanastahiki hivyo,na tukashika nchi wenyewe tukapiga hatua kubwa sana za maendeleo!!!!!!!mpaka sasa zanzibar ni kisiwa kinachotolewa mfano duniani!
hehe
 
Hivi jamani hakuna ajuaye historia ya hawa watu? Dena Amsi na wengineo
 
Last edited by a moderator:
Kusema kweli hata mimi hili huwa nalifikiria sana, ajitokeze mwandishi aandike historia ya nchi yetu A-Z bila kuficha chochote.
 
Mbona kuna vitabu vingi tu vya historia ya nchi yetu kuanzia enzi za Mjerumani mpaka uhuru na baadaye? Hebu jaribu ku google Tanganyika history uone utapata vitabu vingapi.
 
stroke Rudi secondary school hasa form two na uzingatie sana somo la History na Civics, Haya ndiyo madhara ya kusoma shule za kata sasa.
Umehitimu mpaka degree ulipata lakini hata historia ya nchi yako hujui?
 
Last edited by a moderator:
Hata mimi nawakubali wairaqway sana.nimekaa na wale jamaa sana wako smart kwakweli,suala la mapungufu lipo kila mahali no one iz perfect exept GOD,Only GOD is sufficient.
 
Back
Top Bottom