Makabila ya Tanzania: Tamaduni zao na Historia yao

Makabila ya Tanzania: Tamaduni zao na Historia yao

wanaojua hela ni wachaga tu unataka useme kua ukijipodoa ukawa mweupe pe utaitwa mzungu?
 
wahaya kuna mdada alifukuzwa uganda alibeba mimba hakujua aliempa mimba maana alikuwa ametembea na wanaume wengi akakimbilia kagera ndo maana wanapenda sana kk security

Una wivu sana au ulikataliwa na bwana wa kihaya?
 
Interest. Walitoka misitu ya Kongo then Morogoro, then Udzungwa iringa Chini ya Himaya ya babu yake mkwawa wakajitoa kuelekea Mbeya chini ya mtawawala wao Chusa. Lugha yao ikawa paralysed na lugha nyingine on the way to Mbeya. Kuna padre mmoja aliandiakhicho kitabu akiwa tosamaganga ukatolikini.
 
Ningependa kujua zaidi asili ya hili kabila (Wairaqwi) wapi walitokea, asili ya jina na mafungamano na makabila mengine. Kifupi nimeona kabila la Waburunge wanaopatikana Kondoa wakiwa na mila na majina yanayofanana na Wairaqwi.....

Lakini pia nimeona kabila dogo sana la Wasi wanaoongea lugha ya Kichasi wanaopatikana Kondoa wakiwa vivo hivyo kama Waburunge ingawa baadhi ya matamshi yao yanafanana na Wairaqwi.

JMaelezo tafadhali.
 
Wairaq ndio wambulu na asili yao ethiopia na baadae wakapita somalia ndio maana wna matamshi kama wasomali.ukimsikia mbulu anatamka kwa kiswahili mpira anasema impira.kama huamini mwambie sumaye au slaa atamke
 
Wambulu wananywele kama za waethiopia/wasomali, kwa wanaume wanapenda pombe sana hasa za kienyeji(mangure).Kwa watoto wa kike sio wachoyo kwa vitu walivyopewa bure na mungu nadhani umenipata mtu mzima.
 
Wairaqw ndio kabila pekee Tanzania lenye watu serious, hakuna mwiraqw Fisadi, hawajui kusema uongo, ni wapole lakini wapo serious na kazi, hawapendi kuonewa wala kuona mtu anaonewa, hawadanganyiki. Kama Tanzania inahitaji maendeleo ya haraka basi itutumie vizuri kuongoza nchi.
 
Sante mkuu! Wazo lako na lifanyiwe kazi....ngoja tuwasubiri wanajamvi waje waseme
 
Wairaqw ndio kabila pekee Tanzania lenye watu serious, hakuna mwiraqw Fisadi, hawajui kusema uongo, ni wapole lakini wapo serious na kazi, hawapendi kuonewa wala kuona mtu anaonewa, hawadanganyiki. Kama Tanzania inahitaji maendeleo ya haraka basi itutumie vizuri kuongoza nchi.

Na Mbulu ndiyo jimbo pekee Tanzania iliyokuwa na mgombea binafsi miaka ya 65 (Chifu Sarwatt) baada ya kukataa kipenzi cha Nyerere Amri Dodo.

Ila Sumaye ni Fisadi, na yele jamaa wa Tanapa naye Fisadi
 
Na Mbulu ndiyo jimbo pekee Tanzania iliyokuwa na mgombea binafsi miaka ya 65 (Chifu Sarwatt) baada ya kukataa kipenzi cha Nyerere Amri Dodo.

Ila Sumaye ni Fisadi, na yele jamaa wa Tanapa naye Fisadi

Sumaye sio mwiraqw!, amekulia umbuluni tu.
 
Back
Top Bottom