Makabila ya Tanzania: Tamaduni zao na Historia yao

Makabila ya Tanzania: Tamaduni zao na Historia yao

wahaya kuna mdada alifukuzwa uganda alibeba mimba hakujua aliempa mimba maana alikuwa ametembea na wanaume wengi akakimbilia kagera ndo maana wanapenda sana kk security

red and bolded: matusi reja reja. bado nafikiria ulivyo-link na vijineno vya mtaani na uhaya
 
Wangoni ni kutoka bondeni kwa mandela.,kingon kinafanana sana na kizulu,nan mngon hapa?
 
Dah ndo maana ikipita siku bila kuingia jF huwa najihisi kugonjwoka.
 
Wasambaa walfukuzwa bonde na wakasambaa sambaa milimani usambara na waziguwa wakakimbilia handeni dielo. Waliwaogopa wadigo. Wabondei wakabakia muheza kukabiliana na wadigo.
 
Wanyiramba asili yao ni Musoma vijijini mahali panapoitwa Iramba hadi sasa. Mnyiramba alishikwa ugoni na mke wa Mkurya, kwa kuhofia kwamba angeuawa na Mkurya aliamua kutoroka akaacha mifugo yake yote (ng'ombe). Akiwa na usafiri wa punda akavuka mkoa wa Shinyanga na baadhi ya maeneo ya Tabora hadi akaja kuweka makao yake Singida. Na kwa kuwa mnyama aliyekuwa amebaki naye baada ya kuacha ng'ombe wote Musoma ni punda tu, aliamua kumfanya kitoweo. Ndiyo asili ya wanyiramba kula punda hadi leo. Mimi mwenyewe ni mnyiramba nina uhakika na historia ya kabila letu.
 
wahaya kuna mdada alifukuzwa uganda alibeba mimba hakujua aliempa mimba maana alikuwa ametembea na wanaume wengi akakimbilia kagera ndo maana wanapenda sana kk security

mh! Hiyo sijaipata bado
 
Oije nje nkutwalile abanyansi bagikutele egyo kk security okuba nimbona nogyoya chonka tokapasile waukwonka..kolija kumala eidominika limoi olikitebezao na nyoko

sijasema muongee kilugha
 
Back
Top Bottom