Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,324
- 17,846
Wasiokeep their pants on?????
Wapare.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasiokeep their pants on?????
Nahisi wewe sio mkurya kama kweli ni mkurya nitajie kabila lako
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Wapare.....
Kwanini
unadhani mimi sio mkurya dada yangu musubhati?
uni nu umukurya mokenye,weito mbokenye ! nu umuhiri wambura nde!
oneerende!?
1.kijani
hawana hasira hao,ila wana chuki !
-wachoyo kimtindo
-wana mioyo ya kisasi
2.Blue
to some extent naweza kubaliana na wewe
-sio wanafiki hata chembe
-wanachapa kazi si mchezo
-jasiri,sio waoga!
-wana misimamo
-watata
-hawapendi kuonewa
-wana kisasi
3.Red
hapo upo totally wrong,hawa wengi wao waliosoma ni walimu,hasa wa shule za msingi na sekondari,na maafisa elimu pia..kwa kifupi wapo sana katika idara ya elimu
kitabia:waoga sana...wanapenda sana kujikubali(kwa mbali wanafanana na wahaya na wanyakyusa,ila wanyakyusa wao wanajikubali pasipo lolote!
watoto wa kike wao wanazalia sana nyumbani i.e kabla ya kuolewa na ukimtaka mwanao unampata kiroho safi,yeye anaendelea kugawa mzigo na kutafuta wanaume wengine wa kumzalisha tena!
hayo makabila nayafahamu kwa undani kwa sababu nimeishi nayo sana.....kabila jingine ninalolifahamu pia ni wajaluo,ila mtoa mada hajaliweka hapa!!
sorry kama kuna watu watakwazika na mtazamo wangu!
Mwisho,naomba ku declare interest,
mimi The Magnificent ni mkurya!
Mimi simo mawe yakianza rushwa! LOL
Kwanini unadhani mimi sio mkurya dada yangu musubhati?
uni nu umukurya mokenye,weito mbokenye ! nu umuhiri wambura nde!
oneerende!?
mkuu,anataka hadi umsalimie 'amang'ana' ndo aamini,mkuu ila nyie watata ila ka wehu vile,sasa kuchinjana ndo staili gani hzo?
Kwanini unadhani mimi sio mkurya dada yangu musubhati?
uni nu umukurya mokenye,weito mbokenye ! nu umuhiri wambura nde!
oneerende!?
Sifaham hata wamakua ni watu wa wapi!
Jaribu kutuulizia ndugu zako, halafu utujuze.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Katika jamii ya Tanzania, kuna makabila karibu 150. Makabila yafuatayo yanasemwa kuwa na sifa kama hivi;
1. MAKABILA YA WASOMI
Wachaga, wapare, wanyakyusa, wahaya
2. MAKABILA YENYE HASIRA
Wahehe (kujinyonga), Wakurya (kuua), Wajita
3. MAKABILA YA WAVIVU
Makabila yote mikoa ya pwani; wazaramo, wakwere, wapogoro, wazigua, wasambaa etc.
4. OMBA OMBA
Hapa wagogo wameshika namba
5. WAFANYAKAZI (wachapa kazi)
Wasukuma, Wasafwa, Wabena, wanyamwezi
6. UCHAWI na USHIRIKINA
Wafipa (Sumbawanga), Wakinga (Iringa/Njombe),
Ongeza yako unayoyafaham.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Ego jaji..ulivyotudescribe humu...tukikupata utajua wenye hasira ni wakurya ama wajita...
Katika jamii ya Tanzania, kuna makabila karibu 150. Makabila yafuatayo yanasemwa kuwa na sifa kama hivi:
5. WAFANYAKAZI (wachapa kazi)
Wasukuma, Wasafwa, Wabena, wanyamwezi
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Kwanini unadhani mimi sio mkurya dada yangu musubhati?
uni nu umukurya mokenye,weito mbokenye ! nu umuhiri wambura nde!
oneerende!?
Wangoni Je.?:yo::A S-heart-2:
Nimewavulia Kofia kwny K