Makabila ya Tanzania: Tamaduni zao na Historia yao

Makabila ya Tanzania: Tamaduni zao na Historia yao

Na kabila gani inapenda kuacha wake zao vijijini na wao wako mjini tena kimara wapo kwa wingi,
na escudo zao usiwasahau
 
Katika jamii ya Tanzania, kuna makabila karibu 150. Makabila yafuatayo yanasemwa kuwa na sifa kama hivi;

1. MAKABILA YA WASOMI
Wachaga, wapare, wanyakyusa, wahaya

2. MAKABILA YENYE HASIRA
Wahehe (kujinyonga), Wakurya (kuua), Wajita

3. MAKABILA YA WAVIVU
Makabila yote mikoa ya pwani; wazaramo, wakwere, wapogoro, wazigua, wasambaa etc.

4. OMBA OMBA
Hapa wagogo wameshika namba

5. WAFANYAKAZI (wachapa kazi)
Wasukuma, Wasafwa, Wabena, wanyamwezi

6. UCHAWI na USHIRIKINA
Wafipa (Sumbawanga), Wakinga (Iringa/Njombe),

Ongeza yako unayoyafaham.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

wafanyakazi nimekubali; wasukuma, wabena nawapa tano
 
Sifaham hata wamakua ni watu wa wapi!
Jaribu kutuulizia ndugu zako, halafu utujuze.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
wamakua wako Masasi nimesoma pale kwa kweli ni kabila la watu wapole sana hasa akina mama,ndio wanaokuomba ,ukiwa na kiu kali aka hamna shida kabisa.Mzee Nkapa nisamehe baba mkwe
.
 
Katika jamii ya Tanzania, kuna makabila karibu 150. Makabila yafuatayo yanasemwa kuwa na sifa kama hivi;

1. MAKABILA YA WASOMI
Wachaga, wapare, wanyakyusa, wahaya

2. MAKABILA YENYE HASIRA
Wahehe (kujinyonga), Wakurya (kuua), Wajita

3. MAKABILA YA WAVIVU
Makabila yote mikoa ya pwani; wazaramo, wakwere, wapogoro, wazigua, wasambaa etc.

4. OMBA OMBA
Hapa wagogo wameshika namba

5. WAFANYAKAZI (wachapa kazi)
Wasukuma, Wasafwa, Wabena, wanyamwezi

6. UCHAWI na USHIRIKINA
Wafipa (Sumbawanga), Wakinga (Iringa/Njombe),

Ongeza yako unayoyafaham.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
MMhhh!!!!!! nasubiri wakujibu.
 
Na kabila gani inapenda kuacha wake zao vijijini na wao wako mjini tena kimara wapo kwa wingi,
na escudo zao usiwasahau

Na wana heshimu saana ndoa yao hata waume wao wakiwa mbali, na wana chapa kazi aka KUBOTA
 
hapo kwenye wachawi na washirikina Makabila yote hapa tanzania yanajua uchawi sema wanaotisha zaidi sikatai kama ni WAFIPA, WAHA na WATU WA TANGA hao si mchezo
 
Takwimu hizi huenda hazijafanyiwa utafiti wa kutosha maana kuna makabila mengine yamepewa wasifu usio wenyewe, mleta thread fanya utafiti wa kina.
 
Back
Top Bottom