Kwa mujibu wa kichwa cha habari wakuu naomba kujuzwa, ni makabila gani kwa asili yetu watanzania ya kabila lao ni wavumilivu kiasi hichi kwenye mahusiano kwa maana wana moyo wa kuvumilia awe mwanamke au mwanaume kwa mfano amekosea kwenye vitu km uaminifu kwenye mahusiano, kutekeleza majukumu yake km mwenza wako! kuvumilia kwa mwenza wako japo unaamini moyoni mwako mpo pamoja, lkn kila siku anarudi kutoka kazini yupo BWIIIII!! kutoshirikiana kipato chenu wote kwa ujumla, kwa maana mimi na wewe tuna kiasi gani! au tunaingiza kiasi gani kwa siku? na mengine, mengi yanayokera kwenye mahusiano embu nijuzeni wakuu! KABILA GANI HILO??? kwa wanawake na wanaume lenye huu UVUMILIVU?? PLS!