Makabila ya Tanzania: Tamaduni zao na Historia yao

Ukiwa mtu mwema huna haja ya kuwaogopa hata kidogo.
Ukiolewa na mkurya ukiwa muaminifu utafurahi ila sasa ukiwa kicheche utajuta kwa kipigo maana mkurya ana wivu nadhani anaweza kuongoza kwa wivu duniani.
mnhuuuuu
 
Kichuri ni mboga ya kikurya(mavi ya mbuzi yale ya kijan yaliyopo tumboni) hii mboga wakurya wanaipenda sana. Kama unataka kuoa sema sio kuwafahamu tu na kuwachora
Kwahiyo kichuri kinapatikana kwenye mbuzi na kwenye ng'ombe hakipatikani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…