mnhuuuuuUkiwa mtu mwema huna haja ya kuwaogopa hata kidogo.
Ukiolewa na mkurya ukiwa muaminifu utafurahi ila sasa ukiwa kicheche utajuta kwa kipigo maana mkurya ana wivu nadhani anaweza kuongoza kwa wivu duniani.
teh hata siwasemi, nina mabalaa naoHeaven Sent hebu njoo utusaidie huku.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]teh hata siwasemi, nina mabalaa nao
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji13] [emoji13] sasa haya makabila yetu + wakurya mmmmh[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Hata mimi[emoji87] [emoji87] [emoji87]
Kwahiyo kichuri kinapatikana kwenye mbuzi na kwenye ng'ombe hakipatikani?Kichuri ni mboga ya kikurya(mavi ya mbuzi yale ya kijan yaliyopo tumboni) hii mboga wakurya wanaipenda sana. Kama unataka kuoa sema sio kuwafahamu tu na kuwachora
Wewe ungekuwa ni mkurya wangepata sana shida kuondoa hiyo antena yako ya kilo moja![emoji1]nawapenda kwa kuondoa antena
Yaani linakuwa bomu la nyuklia!![emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji13] [emoji13] sasa haya makabila yetu + wakurya mmmmh
Eti dada mzuri ni kweli kuwa mchumba wako ni mkurya au ni watu wanazusha tu?[emoji1]teh hata siwasemi, nina mabalaa nao
Kwa unywanywa tu sikuwezi, me mwenyewe sijuiEti dada mzuri ni kweli kuwa mchumba wako ni mkurya au ni watu wanazusha tu?[emoji1]
Kwa kudadisi ya watu nakupa heshima yakoEti dada mzuri ni kweli kuwa mchumba wako ni mkurya au ni watu wanazusha tu?[emoji1]
Ni zaidi ya shilawaduKwa kudadisi ya watu nakupa heshima yako
Au alikuwa ni X sema tu nimechanganya mafile??[emoji1]Ni zaidi ya shilawadu
Kayachanganue tehAu alikuwa ni X sema tu nimechanganya mafile??[emoji1]
[emoji1] [emoji1] ughambile muraaJambo la kwanza kabisa hakuna mkurya shoga, sasa pata picha kabila ambalo halina mashoga ni kabila la aina gani halafu usinipe jibu? WEITO.
Halafu leo nakuja![emoji1]Kayachanganue teh
Teh karibuHalafu leo nakuja![emoji1]
[emoji1] [emoji1] ughambile muraa
Mbuyaa aghaooEeh mbane amang'a niiyeke?