Makabila ya Tanzania: Tamaduni zao na Historia yao

Wanawake wanaoa wanawake wenzao.

Vipi wanaume, nao wanaoa wanaume wenzao?
 

Hao ni wajita sisi hatuchangamani na wanawake wakati wa kuoga
 
Wakurya na Wazanaki wana tofauti zipi? Au ni wale wale tu?
 
Hao ni wajita sisi hatuchangamani na wanawake wakati wa kuoga
okay, nakumbuka siku hiyo tulienda pembezoni mwa ziwa maeneo ya makoko, tukakuta wanaogelea wengi wake kwa waume, ujio wetu waukuwashtua wala kuwazuia kuendelea kuogelea, nikamwuliza mwenyeji wetu hawa wanawake hawaoni aibu kuvua nguo mbele yetu na kubaki uchi, yule jamaa akaniambia pale iweje wanionee aibu mm wasiyenifahamu wakati wapo na watoto wao hawaoneani aibu?
 
Hawa labda wajita lkn wakurya baba na bintiye au mama na kijana wake wa kiume wana distance isiyo ya kawaida hata kula pamoja hawawezi sembuse kuoga pamoja
 

Aliye kuambia wakurya wanakaa Makoko ni nani?

Umeambiwa wakurya wanapatikana Tarime na Serengeti, kuna ziwa huko?
 
Wanawake wanaoa wanawake wenzao.

Vipi wanaume, nao wanaoa wanaume wenzao?

Ulishaambiwa hakuna mkurya shoga.

Mwanamke huoa mwanamke meenzake pale anapokuwa hajazaa mtoto wa kiume au hajazaa kabisa.

Lengo ni kumzalia watoto aendeleze familia.

Huyo mwanamke anaeolewa anakuwa huru kuwa na mtu yeyote ila watoto watakao zaliwa ni mali ya muoaji.
 
Reactions: mps
acha jazba zisizokuwa na maana hapa tunaelimishana tu, sasa wewe hapo umeandika nn?
 
acha jazba zisizokuwa na maana hapa tunaelimishana tu, sasa wewe hapo umeandika nn?

Nina wasiwasi na level ya ufahamu wako. Jazba iko wapi?

Kwanini mnatamka maneno ambayo hamjui maana zake? Acheni kukariri eeh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…