kindikwili
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 1,862
- 2,875
Kwa jinsi wanavyo piga wake zao, eti wakati wa kutongoza wanabeba visu, mapanga, nyundo ukiwa wakataa wanakumaliza hapo hapo
Hii umesimuliwa nawe kwa usivyoweza kutafuna ukalimeza, hivi kama ingekuwa kweli si magereza yangejaa wakurya waliohukumiwa kwa mauaji au wao kila wakitongoza wanakubaliwa tu? hii si kweli mkuu