Makabila ya Tanzania: Tamaduni zao na Historia yao

Makabila ya Tanzania: Tamaduni zao na Historia yao

Mwanamke haruhusiwi kurithi mali za baba/nyumbani kwao

Kipigo/kupigana ni sehemu ya maisha yao hao jamaa.

Wakioana zile siku za mwanzo mwanzo mwanaume haruhusiwi jua lizame yupo bado nje kwa maana ya matembezi.

Maeneo ya huko butiama mtoto wa mjomba anaruhusiwa kuolewa/kuoa mtoto wa shangazi.

Wanaume wa huko wana mapenzi ya kweli ila ukimzingua shingo ni halali yake.

Lazima baba wa mji awe na silaha yake pembeni ya kitanda au chini ya godoro.

Wanapenda sana mavi furani mepesi yanaitwa kichuri hapo humwambii kitu.

Wanaume ni wapiganaji sana wanatafuta hela.

Kama familia yake imelala na kushinda njaa hawezi akaja kwako akala kabla ya familia yake haijala.

Ni watu ambao hawabembelezi wenye mali wenyewe wanasema kama unazo ni zako hata yeye atafuta(maskini jeuri) nk
 
Mila za wakurya ni Kucheza ngoma za Asili kama vile litungu ambapo wanacheza sana wakati wa sherehe, mavuno nk. Vile vile kuna chakula kama vile ugali wa mtama ulochanganywa na muhogo na nyama yenye kichuri, mavazi yao picha nitawatimieni badaee, tohara ya kiume jinsi wanavyotahiri bila ganzi, vile vile kuna salamu kama vile Tata Sakuru Chacha, Bhabha Nyabhoke, Bhabha NyakuruMarwa, Amang'ana, Mbuyaa. Nyumba Ntobhu na Nyumba Mbokhe. Ambapo mwanamke anaoa mwanamke mwenzie ili waendeleze ukoo au kama hana mtoto wa jinsia flan anaoa ili huyo mkamwana amzalie mtoto wa jinsia flan na wanachukua majina ya huyo bibi hata wakizaliwa na wanaume mia tofauti.
Desturi zao sasa n kama vile ukeketaji hii waliiga kutoka Sehemu za Kenya ambapo ulianzia maeneo ya Nyamwaga, zaman walikuwa wanakeketa sana yan wanakomba kile kinembe chote ambapo wenyeqe walikuwa wanaita "komba" lakn sahv wanachanja tu kidogo ili damu itoke wenyewe wanaita "KCCM".
Sifa za Wakurya n wakarimu sana ukifika kwao huwez kuacha kuondoka na zawadi mbuzi, kuku, mahindi, busara, viazi yan chochote walichonacho utapewa, kingne n wajasiri sana wanaume wanatahiriwa bila ganzi na wanatembea umbali mrefu baada ya kutahiriwa huku wanavuja damu, kingine wakurya n wachapa kazi sana haswaa wanawake wanaume wengi n wavivu, walevi, majambazi, wezi, na wanategemea wanawake wawalishe, Wanaume wa kikurya wanapenda kuoa wanawake wengi, wanaupendo sana na wanaishi sana katika extended families.
Good things kwa Wakurya n kuwa mke wa ndoa ukichepuka na ukabeba mimba hata kama mtoto atazaliwa mzungu wewe Chacha au Marwa uliyetoa Mahari huyo n mwanao na hawakatai watoto, ukioa mke mwenye watoto wale watoto wanachukua ubin wako, Pia kingine wanapenda kuoa watoto wadogo chini ya miaka 15, wanawaabudu na kuwaheshimu wazee wa kimila zaidi ya Mungu kiasi kwamba wakisema Leo hakuna Mtu yyt kwenda Shambani hawaendi na hao wazee wana matambiko na mambo mbali mbali ya kichawi. Nmechoka mengine wataongezea wenyewe Wakurya.
 
1.Binti akiolewa akiwa bikra muoaji hupeleka ng'ombe mmoja kwao binti km shukrani.
2.Mwanamke ambae hajazaa na ana mali anaruhusiwa kuoa na watoto watakaozaliwa watakuwa mali yake halali
3.Mwanamke aliyeolewa ukuryani ni sharti akeketwe hata km kwa wakati huo atakuwa na watoto
4.Kumrithi mjane wa kaka yako ni ruksa
5.Mwanamke harusiwi kumiliki mali ikiwa familia ina wanaume
6.Mtoto wa kike hapewi chochote kwenye urithi
Hizo ni mila....!!
Ama unyanyasaji?
 
Kichuri ni mboga ya kikurya(mavi ya mbuzi yale ya kijan yaliyopo tumboni) hii mboga wakurya wanaipenda sana. Kama unataka kuoa sema sio kuwafahamu tu na kuwachora
Mbona umeegemea kwenye mavi tu? Ina maana huwa hakuna kingine kwenye kichuri mura? Basi hujui kichuri!
 
Mkuu ukuryani ubabe ndio first priority, na ni lazima ujue kutumia silaha za jadi maana ukibanwa na haja usiku unasafiri mita mia tatu kuelekea chooni,kama ni mgeni ukibanwa night unapewa panga na mkuki kuelekea chooni,
Maana huko lolote laweza kutokea na ukakabiliana nalo
Halafu ni muhimu sana kuwapa kichapo wapenzi wetu a.k.a mama watoto huo ndio upendo wa kweli sokoro
Yeah.... Ni usiku usiku tu!
 
Open school unakijua kichuri? Google hio ndio mboga yao maarufu sana.(jiandae kuila)
kichuri ni kichungu balaa, hicho kilinishinda kabisaaa, pia hawa jamaa wanapenda sana ugali wa udaga, kingine walichonishangaza ni tamaduni zaz kwenda kuoga ziwani familia nzima wanaenda kuoga, baba, mama na watoto wanavua nguo na kubaki uchi wa mnyama bila kujali kuwa yupo na watoto hata kama ni wa jinsia tofauti
 
Huo ni uongo uliowazi @ raia_mwema. Hao siyo wakurya bali uliwafananisha, tusikilize sisi wazawa wa ukuryani kuliko kutanguliza unachohadithiwa
 
Mila za wakurya ni Kucheza ngoma za Asili kama vile litungu ambapo wanacheza sana wakati wa sherehe, mavuno nk. Vile vile kuna chakula kama vile ugali wa mtama ulochanganywa na muhogo na nyama yenye kichuri, mavazi yao picha nitawatimieni badaee, tohara ya kiume jinsi wanavyotahiri bila ganzi, vile vile kuna salamu kama vile Tata Sakuru Chacha, Bhabha Nyabhoke, Bhabha NyakuruMarwa, Amang'ana, Mbuyaa. Nyumba Ntobhu na Nyumba Mbokhe. Ambapo mwanamke anaoa mwanamke mwenzie ili waendeleze ukoo au kama hana mtoto wa jinsia flan anaoa ili huyo mkamwana amzalie mtoto wa jinsia flan na wanachukua majina ya huyo bibi hata wakizaliwa na wanaume mia tofauti.
Desturi zao sasa n kama vile ukeketaji hii waliiga kutoka Sehemu za Kenya ambapo ulianzia maeneo ya Nyamwaga, zaman walikuwa wanakeketa sana yan wanakomba kile kinembe chote ambapo wenyeqe walikuwa wanaita "komba" lakn sahv wanachanja tu kidogo ili damu itoke wenyewe wanaita "KCCM".
Sifa za Wakurya n wakarimu sana ukifika kwao huwez kuacha kuondoka na zawadi mbuzi, kuku, mahindi, busara, viazi yan chochote walichonacho utapewa, kingne n wajasiri sana wanaume wanatahiriwa bila ganzi na wanatembea umbali mrefu baada ya kutahiriwa huku wanavuja damu, kingine wakurya n wachapa kazi sana haswaa wanawake wanaume wengi n wavivu, walevi, majambazi, wezi, na wanategemea wanawake wawalishe, Wanaume wa kikurya wanapenda kuoa wanawake wengi, wanaupendo sana na wanaishi sana katika extended families.
Good things kwa Wakurya n kuwa mke wa ndoa ukichepuka na ukabeba mimba hata kama mtoto atazaliwa mzungu wewe Chacha au Marwa uliyetoa Mahari huyo n mwanao na hawakatai watoto, ukioa mke mwenye watoto wale watoto wanachukua ubin wako, Pia kingine wanapenda kuoa watoto wadogo chini ya miaka 15, wanawaabudu na kuwaheshimu wazee wa kimila zaidi ya Mungu kiasi kwamba wakisema Leo hakuna Mtu yyt kwenda Shambani hawaendi na hao wazee wana matambiko na mambo mbali mbali ya kichawi. Nmechoka mengine wataongezea wenyewe Wakurya.

Wewe kama mme wako ni mlevi, mvivu, jambazi anakutegemea umlishe tutake radhi
 
Muongo wewe maana Mimi mwenyewe mkurya sasa utanisimulia nini

Hivi kama mwanamke anazaa nje na bado ukamkubali mtoto anaezaliwa kuwa niwako hapo wivu uko wapi?

Wivu mnaujua ama mnaongea tu. Binafsi wivu sina ila roho huwa inauma
 
Back
Top Bottom