Makabila ya Tanzania: Tamaduni zao na Historia yao

Makabila ya Tanzania: Tamaduni zao na Historia yao

Wanapenda dushe na pia wana nyege kama wanawake wengine wa dunia yote. Wanapata mimba, hawapendi kunyanyaswa na ukiwaheshimu watakuheshimu lakini ukijifanya mjuaji basi itakula kwako utaiona kila rangi ambayo hujawahi kuiona hapa duniani.

Wakuu naomba wenye ufahamu wa wanawake wa rombo anijulishe tabia nzuri walizonazo, tabia zisizofurahisha walizo nazo na je ni wafe material. Naombeni msaada
 
Wakuu naomba wenye ufahamu wa wanawake wa rombo anijulishe tabia nzuri walizonazo, tabia zisizofurahisha walizo nazo na je ni wafe material. Naombeni msaada
Hawa wanaitwa fuso, wanachapa kazi balaa, tatizo pesa zao nyingi wanatuma kwa wazazi. Unaweza kuoa sio wabaya
moja ya sifa ninayowajua wanayo ni ubahili, yaani wako kama wapare kwa uchungu wa pesa.
 
Tutajie kwanza sifa za wanawake wa kabila lako ili tuweze kufahamu tunaanzia wapi kukushauri
 
Niwataftaj sana ukiwaoa tarajia maendeleo coz sio wavivu na hawapend wanaume wavivu kusaka hela. Ukimpata MRombo furah sana
 
Ikitokea nataka kuoa mchaga nitaoa MROMBO au MU OLD MOSHI

wengine wote hawafai, wana roho mbaya, halafu wezi.
 
Back
Top Bottom