Makabila ya Tanzania: Tamaduni zao na Historia yao

Makabila ya Tanzania: Tamaduni zao na Historia yao

Magamba Secondary (sasa ni University College ya chuo cha Tumaini kwa jina la SEKUCO)
Hii Magamba Secondary imenifurahisha sana jina lake. Lina uhusiano wowote na wale wenzetu waliojivua magamba? Lol!
 
Hivi haya makabila ya kichaga, wasukuma, wakurya, na hasa hasa Wachaga wanapotangaza vifo katika radio huwa wanafikiria nini, kama sio tu kutafuta sifa zisizo za msingi. Utasikia, "ndugu Kazael Masawe anasikitika kutangaza kifo cha nyanya/mjukuu wake kilichotokea juzi Rombo. Habari ziwafikie ndugu wa marehemu, shemeji wa shemeji yake aliye Moscow Urusi, baba yake mdogo aliyeko Shanghai China, bibi mzaa mama aliye Washington DC Marekani. Hivi radio Free Africa, TBC, Magic zinasikika nje ya bara la Afrika? Acheni hizo mnajidhalilisha. Kwa nini msitumie barua pepe? Au mnataka watz wajue kuwa mna ndugu Marekani, China, Urusi n.k. Kama kuna sababu za msingi basi tujulishwe hapa jf, great thinkers tunaona si rahisi hizo redio kufika nchi hizo, uongo mtupu.
 
Inaelekea hayo makabila uliyoyataja ndo yamebahatika kutoka na kuish nje ya tz kwa wingi klk makabila mengine
 
Inaelekea hayo makabila uliyoyataja ndo yamebahatika kutoka na kuish nje ya tz kwa wingi klk makabila mengine

Kama ni hivo basi hayajaelimika. Hatupingi kuwa wana ndugu nchi za nje. Lakini kweli hawajui kuwa TBC, RFA n.k hazijulikani na wala hazishiki katika hizo nchi!
 
Inaelekea hayo makabila ya kaskazin yanakupa headache sana kwa jinsi watu wake walivokamua shule eeh?
 
Inaelekea hayo makabila ya kaskazin yanakupa headache sana kwa jinsi watu wake walivokamua shule eeh?

Mimi mwenyewe wa Kaskazini, ila tu nimejaribu kufikiria kama kweli inaingia akilini kutangaza kwa redio za bongo (hata pasipo kwenda shule) eti ujumbe utafika Moscow.
 
Mimi mwenyewe wa Kaskazini, ila tu nimejaribu kufikiria kama kweli inaingia akilini kutangaza kwa redio za bongo (hata pasipo kwenda shule) eti ujumbe utafika Moscow.

huku bado ni afrika, msiba ni janga la jamii nzima, tungeweza kuandika barua pepe ni sawa, ila utawaandikia wangapi wanaohusika? kutaja ndugu na mahala walipo ni muhimu, mfano akina fred swai wapo wengi sana, sasa ili ueleweke na kuondoa mkanganyiko ni lazima useme fred swai wa nelspruit, afrika kusini, ili fred swai wa tra asije akadhani ni yeye, au rafiki yake fred swai wa crdb bank, au yule wa edinburgh asije akasikia tangazo akadhani rafikiye amefiwa bure na kuanza kumtex meseji za pole na r.i.p, sijui nimeeleweka?
 
Wanapenda sifa kwani wewe unatakaje sasa,mnahangaika na wachaga kila siku hamtawaweza kwalolote ,kama kabila lako ni loser litabaki hivyohivyo tena kipindi hiki cha ushindani ndio mtajiju.
 
Wachaga bana kweli hawaishiwi vituko

Buswe; Lengo la matangazo ya vifo siyo kutoa taarifa kwa ndugu wa karibu tu bali kwa jamaa na marafiki wa wanafamilia husika. siyo rahisi kwa wafiwa kutoa taarifa kwa jamaa na marafiki wote, kuna uwezekano wa kusahau wengine. matangazo kwenye vyombo vya habari huondoa kasoro zinazoweza kujitokeza katika utoaji wa taarifa za vifo.
 
Tatizo ni lile lile skuli yako ndogo hujui maana ya kuwepo vyombo hivi.na hata mkielimishwa haisaidii maana we umezoea habari uzipate vijiwe vya kucheza bao kwishne.pia vyombo vya habari hamnavyo kwani hamtaki kujishughulisha ili mvipate.wenzio wako na far mjifunze
 
Acha wivu bana mbona nilikuwa nawapata kupitia satelite nilipokuwa pande za uk
 
mipango ya mazishi inafanyika B bar sinza.hapa huwa nacheka ingawa taarifa ni ya msiba.
 
Anyway!!!. Vyombo vya habari vina make money.
 
bila kuringa tungekuwa na maendeleo? wasio ringa ni wachawi.makabila yenye sifa ndio yana maendeleo,wamesoma,wanawekeza kwao.kama hamjafika marangu,machame,hai rombo tarakea mbeya,mwanza nk.yale makabila mengine wao kulogana ili mtu asifanikiwe.
Dear Mr.BillGates

akili kwa kichwa,someni hii
This letter is from Masawe of Kibosho Moshi.

We have bought a computer for our home and we found problems, which I want to bring to your notice.

1. After connecting to Internet we planned to open e-mail account and whenever we fill the form in Hotmail in the password column, only ******appears, but in the rest of the fields whatever we typed appears, but we face this problem only in password field. We checked with hardware technician Kimaro and he said that there is no problem in keyboard.Because of this we open the e-mail account with password *****. I request you to check this as we ourselves do not know what the
password is.

2. We are unable to enter anything after we click the "Shut Down" button.

3. There is a button "Start" but there is no "Stop" button. We request you to check this.

4. There is "Find" button but it is not working properly. My wife lost the door key and we tried a lot for tracing the key with this 'Find', but unable to trace. Is it a bug or virus??

5. Every night I am not sleeping as I have to protect my "Mouse" from CAT, So I suggest you to provide a DOG too to kill that cat.

6. My child learnt "Microsoft Word" now he wants to learn "Microsoft Sentence", so when U will provide that?

Best regards,

Masawe.
 
wakwere wanaweza hiyo? hiv kuna waliovuka hata pwani ukica jcent na bata wake?
 
huku bado ni afrika, msiba ni janga la jamii nzima, tungeweza kuandika barua pepe ni sawa, ila utawaandikia wangapi wanaohusika? kutaja ndugu na mahala walipo ni muhimu, mfano akina fred swai wapo wengi sana, sasa ili ueleweke na kuondoa mkanganyiko ni lazima useme fred swai wa nelspruit, afrika kusini, ili fred swai wa tra asije akadhani ni yeye, au rafiki yake fred swai wa crdb bank, au yule wa edinburgh asije akasikia tangazo akadhani rafikiye amefiwa bure na kuanza kumtex meseji za pole na r.i.p, sijui nimeeleweka?

Aah wapi! Kwan ukiandika email au msg au cm c inamfikia mlengwa? Kuliko kutangaza redion wakati email na cm ya huyo ndugu yenu mnayo kwa nn msimtext?
 
Back
Top Bottom