huku bado ni afrika, msiba ni janga la jamii nzima, tungeweza kuandika barua pepe ni sawa, ila utawaandikia wangapi wanaohusika? kutaja ndugu na mahala walipo ni muhimu, mfano akina fred swai wapo wengi sana, sasa ili ueleweke na kuondoa mkanganyiko ni lazima useme fred swai wa nelspruit, afrika kusini, ili fred swai wa tra asije akadhani ni yeye, au rafiki yake fred swai wa crdb bank, au yule wa edinburgh asije akasikia tangazo akadhani rafikiye amefiwa bure na kuanza kumtex meseji za pole na r.i.p, sijui nimeeleweka?