amayabhu
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 497
- 709
TusubiriWanajukwaa amani kwenu.
Kama kichwa cha mada kinavyojieleza ningependa kufahamu maisha halisi ya kabila la Wakurya, mila na desturi zao. Bila shaka Wakurya wapo humu na ningependa kujifunza namna walivyo kama nilivyotangulia kusema hapo awali.
Karibu tuelimishane.
Mazuri yote yatasemwa na wao wenyewe wakurya
Yale mabaya ya wakurya yatasemwa na wasio wakurya
Waiting [emoji63] [emoji63] [emoji63] [emoji63]