Makabila ya Tanzania: Tamaduni zao na Historia yao

Makabila ya Tanzania: Tamaduni zao na Historia yao

mkurya na mjita huwa hawakubalian kabisa,,na wala mkurya hawez kumsema vizur mjita,,mkurya nikolofi lakin akifika kwa mjita uwa nakalishwa.
 
3. MAKABILA YA WAVIVU. inakuhusu wewe mwandishi.

Hakuna wachapa kazi km wasambaa ww nenda tanga ukawaone wanavyochakarika !!usiwe unaandika vitu kwa ushabiki na hali elim yenyewe ya research huijui
 
warembo na wazuri ni Wairaque

  • A%20S%202152.gif


 
hapana bhanaaa mbona wanalima wanafanya kazi nyengine za kuwapatia kipato!!??? hivi ndugu yangu wasipofanya kazi kweeeli watakula hilo bao na kahawa!!???? MKUUUU ACHA KUKARIRI
Mwambojoke, hembu angalia wazaramo...wanafanya kazi gani zaidi ya bao, kahawa (gahwa) na ngoma (mdundiko)? Huo ni mfano hai, na nafkiri liko wazi hilo!


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Utani wa wanyamwezi na wangoni. Wangoni walipotoka Africa ya kusini walipania wafike hadi ziwa Victoria. Walipofika Tabora walikumbana na wanyamwezi. ikumbukwe kwamba wangoni walikua hodari sana kwenye vita kutokana na uzoefu toka Kusini. Wanyamwezi walitumia mbinu za medani kuwadhibiti wangoni kwa kuwatanguliza wanawake kwenye uwanja wa mapambano. wanawake ambao walikua hawana silaha. kila mngoni alipomuona binti wa kinyamwezi alianza mambo ya ndoa na kusahauvita hivyo wanyamwezi kuwaua wangoni wakiwa juu ya wanawake kirahiiiisi. wangoni kupenda chini hawakuanza jana.kwa mtindo huu wanyamwezi waliweza kuwatimua wangoni mpaka Songea walipo sasa. Heshima wangoni waliyowawekea wanyamwezi mpaka leo ndio ule utani wao ulio pitiliza. NEXT WAGOGO NA WASUKUMA
 
1.kijani
hawana hasira hao,ila wana chuki !
-wachoyo kimtindo
-wana mioyo ya kisasi

2.Blue
to some extent naweza kubaliana na wewe
-sio wanafiki hata chembe
-wanachapa kazi si mchezo
-jasiri,sio waoga!
-wana misimamo
-watata
-hawapendi kuonewa
-wana kisasi

3.Red
hapo upo totally wrong,hawa wengi wao waliosoma ni walimu,hasa wa shule za msingi na sekondari,na maafisa elimu pia..kwa kifupi wapo sana katika idara ya elimu
kitabia:waoga sana...wanapenda sana kujikubali(kwa mbali wanafanana na wahaya na wanyakyusa,ila wanyakyusa wao wanajikubali pasipo lolote!
watoto wa kike wao wanazalia sana nyumbani i.e kabla ya kuolewa na ukimtaka mwanao unampata kiroho safi,yeye anaendelea kugawa mzigo na kutafuta wanaume wengine wa kumzalisha tena!

hayo makabila nayafahamu kwa undani kwa sababu nimeishi nayo sana.....kabila jingine ninalolifahamu pia ni wajaluo,ila mtoa mada hajaliweka hapa!!

sorry kama kuna watu watakwazika na mtazamo wangu!


Mwisho,naomba ku declare interest,

mimi The Magnificent ni mkurya!

Bila shaka utakuwa unawafahamu vizuri sana waikizu, naomba unisaidie waikizu hasa wanawake wana tabia gani?!
 
Bila shaka utakuwa unawafahamu vizuri sana waikizu, naomba unisaidie waikizu hasa wanawake wana tabia gani?!

Mkuu,

Siwafahamu vizuri waikizu! Ila sidhani kama wana tabia mbaya,wangekuwa na mambo ya ajabu ningekuwa nishawasikia,Mkoa wa Mara wanawake wa kijita tu ndio SUMU,wengine wote nadhani wako poa,Waikizu na wazanaki wanaendana sana na Wakurya
 
Ukiona nimenyamasa ujuage
nimekabaali be niangusage mwenyewe fanyaga ukimalisa funikaga- hilo
nalo ni kabila gani?

wahehe hao yaani huitwa nyangusage ila sambi sote sako kwanza supi yenyew imesoboka.....wanahasira mpaka wanaweza kumeza wembe
 
Back
Top Bottom