nyangelekene
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 481
- 344
mkurya na mjita huwa hawakubalian kabisa,,na wala mkurya hawez kumsema vizur mjita,,mkurya nikolofi lakin akifika kwa mjita uwa nakalishwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiona nimenyamasa ujuage nimekabaali be niangusage mwenyewe fanyaga ukimalisa funikaga- hilo nalo ni kabila gani?
3. MAKABILA YA WAVIVU. inakuhusu wewe mwandishi.
Dooh!Kumbe mchaga nae msomi!?
Na kabila gani inapenda kuacha wake zao vijijini na wao wako mjini tena kimara wapo kwa wingi,
na escudo zao usiwasahau
Mwambojoke, hembu angalia wazaramo...wanafanya kazi gani zaidi ya bao, kahawa (gahwa) na ngoma (mdundiko)? Huo ni mfano hai, na nafkiri liko wazi hilo!
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
je warangi, mimi ni mrangi
Makabila ya wasomi "Wapare"???
Wavivu umesahau wamakonde na wakwere.
1.kijani
hawana hasira hao,ila wana chuki !
-wachoyo kimtindo
-wana mioyo ya kisasi
2.Blue
to some extent naweza kubaliana na wewe
-sio wanafiki hata chembe
-wanachapa kazi si mchezo
-jasiri,sio waoga!
-wana misimamo
-watata
-hawapendi kuonewa
-wana kisasi
3.Red
hapo upo totally wrong,hawa wengi wao waliosoma ni walimu,hasa wa shule za msingi na sekondari,na maafisa elimu pia..kwa kifupi wapo sana katika idara ya elimu
kitabia:waoga sana...wanapenda sana kujikubali(kwa mbali wanafanana na wahaya na wanyakyusa,ila wanyakyusa wao wanajikubali pasipo lolote!
watoto wa kike wao wanazalia sana nyumbani i.e kabla ya kuolewa na ukimtaka mwanao unampata kiroho safi,yeye anaendelea kugawa mzigo na kutafuta wanaume wengine wa kumzalisha tena!
hayo makabila nayafahamu kwa undani kwa sababu nimeishi nayo sana.....kabila jingine ninalolifahamu pia ni wajaluo,ila mtoa mada hajaliweka hapa!!
sorry kama kuna watu watakwazika na mtazamo wangu!
Mwisho,naomba ku declare interest,
mimi The Magnificent ni mkurya!
Bila shaka utakuwa unawafahamu vizuri sana waikizu, naomba unisaidie waikizu hasa wanawake wana tabia gani?!
Kabila la mtanzania nalo sifa zake ni zipi?
Ukiona nimenyamasa ujuage
nimekabaali be niangusage mwenyewe fanyaga ukimalisa funikaga- hilo
nalo ni kabila gani?