Makabila ya wasanii na watu maarufu wa Bongo

Makabila ya wasanii na watu maarufu wa Bongo

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
#Diamond na Ali Kiba: Almost every body know about them

1. Sugu ( Joseph Mbilinyi) - Mkinga
2. Professor Jay (Joseph Haule ) - Mngoni
3. Lady Jay Dee ( Judith Wambura Mbibo) - Mkurya
4. Inspector Haroun - Msukuma/ Mzaramo (Baba ake na Haruna marehemu Mzee Rashid Juma Kahena alilowea uzaramuni " Kisarawe vijijini" miaka ya sitini, akaoa Mzaramo ( mama Zena/ mama ake Haruna) then baadae akahamia Kisarawe mjini then Temeke. Kwa miaka yote aliyo kaa uzaramuni Mzee huyu alijikuta akiwa ame integrate kwenye uzaramuni.

5. Luteni Kalama (Kalama Bakar) - Mzaramo.
6. Juma Nature (Juma Kassim Kiroboto) - Mzaramo/ Mngindo.
7. Solo Thang (Msafiri Kondo) - Mzaramo.
8. Tid (Khalid Mohamed) - Mmakonde (but anadai ana asili ya ungazija)
9. Jay Moe (Juma Mohamed Mchopanga)....Mmakonde.
10. Mr. Blue (Heri Sameer) - mama Mzaramo wa Mlandizi Baba Msudani.
11. Chid Beenz (Rashid Abdallah Makwiro) - Baba wa Tanga (probably Mzigua au Mdigo) mama wa Iringa probably Mhehe.
12.Lord Eyes - Baba Mjita mama mchaga.
13. JCB (Jacob Makala) - Msukuma.
14. Wema Sepetu - Mama mtu wa Singida, Baba Mnyamwezi.
15. Hamisa Mobeto - Mnyamwezi.
16. Swebe - Mnyamwezi.
17. Dyna Nyange - Mrangi.
18. Jux - Mmakonde.

Endelea kuiririka na wewe
 
Back
Top Bottom