Heisenberg blue meth
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,310
- 1,633
mbembe ni mkoa gani ipoNi kweli Mzee Majuto.alikuwa mbembe.Tanga alifanya kuhamia Tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbembe ni mkoa gani ipoNi kweli Mzee Majuto.alikuwa mbembe.Tanga alifanya kuhamia Tu.
Hapo kwa Barnaba umedanganya
either kwa Makusudi au bila kujua
Yeah sema Mbagala wanamnasibisha na undengereko, ila ni humo humo hatoki nje ya pwaniYeah Samatta ni Mzaramo though ana.muonekano kama mndengereko au Mngindo vile
+ Aishi Salum Manula but joti kama mndamba hiviBeka freva..
joti..
Wapogoro
Wanataka kutambikaIli iweje? Mbona watu mnakuwa obsessed sana na makabila ya watu? Nyie wachawi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli Joti ni mndamba upo sahih+ Aishi Salum Manula but joti kama mndamba hivi
Sio mkuryaNdio
Judith Wambura
Nareel mzanakiNa jux je??
Vanessa mdee- mpare
Mh temba - mchaga
Mabeste -;mchaga
Haika - mchaga
Nareel - sijui
Mr nice - mchaga
Snura - mchaga
Barnaba classic - mchaga
Barak de prince - mjaluo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabila moja dogo linapatikana wilayani Bunda wanajulikana kama waikizu nimesoma na ndugu zake Ikizu high school
Ni mzaramo eehSio mkurya
Muikizu kabila moja na Steven Wassira hilo kabila linapatikana Wilayani BundaNi mzaramo eeh