Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa kamandaMuikizu kabila moja na Steven Wassira hilo kabila linapatikana Wilayani Bunda
Hii NI ngumu kwangu kuielewa!Kabila la mtu ni kule alipozaliwa sio kule wazazi wake walipozaliwa.
Huwezi kusema mtu ni mchaga wakati kazaliwa uzaramoni, huyo ni mzaramo tu hata kama wazazi wake walizaliwa uchagani.
Free thinker. [emoji125] [emoji125]
Ni mzanaki toka butiama
Mtoto wa Dandu dah!Sisi wasukuma wasanii wetu wa nguvu Mungu aliwapenda zaid
1 BANZA STONE mwana masanja
2 JAMES DANDU
3 STIVEN KANUMBA
dah walale mahala pema peponi
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo wanamjua huko Kenya.....maana wakija macomedy wa kenya bongo kama akina omondi masaa yote ni diamond tuu wanafikiri kuna watu wana time naye bongoDiamond Hamumjui au mmemsahau
Mbona anaonekana kama ni (Yego orriented?) maana Musoma kuna viukoo vingi wanavyoviita kabila lakini kimsingi ni makabila 3 tuu.Ni mzanaki toka butiama