Rukube
JF-Expert Member
- May 9, 2018
- 245
- 477
Mbembe pure, Tanga kufanya maisha,kama Ngolo kante Pogba,Mandanda ,Matuidi wote wanaiwakirisha Ufaransa lakini ni wa Africa wenzetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbembe pure, Tanga kufanya maisha,kama Ngolo kante Pogba,Mandanda ,Matuidi wote wanaiwakirisha Ufaransa lakini ni wa Africa wenzetu
Nazani utakuwa umepata majibu yake...Ndugu wa baba ambao walinipeleka Hadi kwao na wanaudugu na Steven Wassira
Hapa nani mkweli?Jide ni Muikizu same to Wadogo zake Dabo, Wakazi na Esther Wasira
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mzanaki toka butiama
Teh! Kila mtu akitokea Mara anajulikana kuwa mkurya na mkatili that's what Jide was trying to make clear to that particular guy. Amini nakuambia Jide sio mkurya, ndugu zake wanaishi manyamanyama Bunda, nawajua kina Masato wengine wanaishi musoma mjini, kina Webiro wengine wako USA na watoto wa Steven Wassira, na marehemu Kaka yake Wassira alikuwa baba yake Webiro niliyesoma nae na alikuwa mtu mzito tu bodi ya pamba kipindi hicho. OverNazani utakuwa umepata majibu yake...
Ulianza kula kimasihara uko shuleUm
Umenikumbusha mbali nyamswa,nilikuwa nikitoka nyumbani rikizo nalala hapo na mpz wangu kabla sijaripoti shuleni kwa wasabàto Ikizu high school
Acha kabsa! Tulikuwa hatuna simu naenda kumsubilia pale stand nyamswa kwenye mti mkubwa kabsa umezungushiwa matofali ya kukalia. Nilikuwa nasoma pia na kijana mmoja anaitwa Manyoli walikuwa matajiri sana pande za Salama A njia ya kwenda Serengeti. Baba yake alikuwa anamiliki hotel za orange tree Mwanza na Musoma mjini huyu mzee alifia hotelini kwake Mwanza,kijana wake tulikuwa tulikuwa tunaweka kambi nyamswa hata siku tatu ndo tunaenda shule ni mwendo wa monde na kubanjuka tu Ujana huu jamani khaaa.Ulianza kula kimasihara uko shule
Sure anaitwa George MdemuGnako ni mpare
Kabila la mtu ni nasaba ya baba yake haijalishi wamezaliwa wapi.Kabila la mtu ni kule alipozaliwa sio kule wazazi wake walipozaliwa.
Huwezi kusema mtu ni mchaga wakati kazaliwa uzaramoni, huyo ni mzaramo tu hata kama wazazi wake walizaliwa uchagani.
Free thinker. [emoji125] [emoji125]
Kabila ni zaidi ya nasaba. Kuna utamaduni, lugha n.kKabila la mtu ni nasaba ya baba yake haijalishi wamezaliwa wapi.
Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Mimi kabila langu ni Msizaki halina uhusiano kabisa na Wakurya, natokea wilaya ya Bunda mkoani Mara.Teh! Kila mtu akitokea Mara anajulikana kuwa mkurya na mkatili that's what Jide was trying to make clear to that particular guy. Amini nakuambia Jide sio mkurya, ndugu zake wanaishi manyamanyama Bunda,nawajua kina Masato wengine wanaishi musoma mjini,kina Webiro wengine wako USA na watoto wa Steven Wassira, na marehemu Kaka yake Wassira alikuwa baba yake Webiro niliyesoma nae na alikuwa mtu mzito tu bodi ya pamba kipindi hicho. Over
Nope ni msimbitiJide ni Muikizu same to Wadogo zake Dabo, Wakazi na Esther Wasira
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni mwanajeshi pale Ruvu JKT. Ninaishi hapa hapa kambinipale mlandzi kipande cha mtongani, mlandiz bondeni, mbagara dawasco au kilangalanga upo
Sent using Jamii Forums mobile app
UongoJux- mpogoro
Sugu-mbena
Ali Kiba - Mhehe
Ndio maana kvpGnako kumbe mhehe ndio mana
Na ww pia mnyamwezi[emoji3][emoji3]Shilole _mnyamwezi
Jose mara _mnyamwezi
Wema _mnyamwezi
Mobetto _mnyamwezi
Sent using Jamii Forums mobile app