Makabila ya wasanii na watu maarufu wa Bongo

LIKUD,

Namba 1 si kweli Wema baba yake ni Mfipa. Hata baba yake mdogo yupo anaishi kinondoni.
 

Baba yako kwa sababu anazozijui yeye amekupotosha..Mjomba kuwa na nguvu kwa hayo maeneo ni katika ushauri na malezi tu ktk kumsaidia dada yao na haina uhusiano na urithi or something..wewe kuwa msukuma ni haki yako !! .. inaoenekana umekuzwa ku hate upande wa mama... .!! .. na hilo ndio tatizo la wasukuma!..
 
G-nako?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waha hujiita wamanyema, hawapendi waitwe waha
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dokii- mjita kotekote kwa baba na Mama aliishi Musoma Kamunyonyonge kasoma musoma alizaliwa Kendu bay Kenya

Maringo- Musoma Kamunyonge!

JIrambwene- Mugango-kwibara

Diamond- kigoma baba mruri
Wakati rich mavoko na uyo uliyemtaja ni blood kabisa, sasa rich mavoko ni kutoka morogoro au unababaika na lafudhi ya kikenya? Masanja ukoo wake ni Mgaya ambao ni wahehe.

Nafikiri umenisoma hapo
 
Msaga sumu -Mmawiya
Mrisho mpoto - Mmalaba
20% - Mmawiya
Harmonize - uchicheme uchi mumunye
Mzee WA BWAX - msukupai
Shetta - mnachilingo
Marioo - shirshama
Jay melody - wa2 wa Kwny apocalypse ya Jaguar
Rayvanny - mnyakusa
AY - mmakonde pure
KR - naluhokwe
Ferooz - naluhokwe
Meja kunta - mmapengo
 
Sheta mchaga
Nandy mpare

Nimekusahihisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenichekesha sanaa brother, umenikumbusha kitambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…