Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
Dayna NyangeBeka freva..
joti..
Wapogoro
Mama Rwakatale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dayna NyangeBeka freva..
joti..
Wapogoro
Usiseme Ben pol.. sisi huku tunamjua Kama Bernardo Paulo..Mwana FA - Mdigo
Kingwendu - Mzaramo
Mc Pilipili - Mgogo
Ben Pol - Mgogo
Fid Q - Msukuma
Sent using Jamii Forums mobile app
Jux ni mkwele wa morogoroJux ni Mmakonde
Jux n mmakonde wa mtwara,Jux ni mkwele wa morogoro
Jux n mmakonde wa mtwara,
Ni jux n mtu wa mtwara, refer in love n money tower ndio utaelewaJux ubini wake ni mkambara ni mkwele wa morogoro sio mmakonde
Ni jux n mtu wa mtwara, refer in love n money tower ndio utaelewa
Its ouk yawezekana km ndio hivyo.Kama ni mmakonde basi kachukua kabila la mama yake ila marehemu baba yake ni mkwele pia babu yake ana undugu na kikwete ambaye nae ni mkwele
Its ouk yawezekana km ndio hivyo.
Bas sawaaaahInawezekana ikawa hivyo kachukua kabila la mama yake mmakonde ila baba yake alikuwa mkwele
jux ni mtu wa morogoro aisee, jina lake ni juma mkambalaJux Mmakonde
Pale Mtwara walikua na nyumba yao enzi hizo, nafikiri mtaa wa Kiyangu. Miaka ile ya 1993-1996 Mh Sugu alikua anatembelea sana Mtwara. Niliwahi kusikia kua aliwahi kusoma shule ya Sekondari kule Mtwara nadhani Sabasaba Day Sec, ingawa sina uhakika kama ni kweli au la.Mbilinyi ni Wakinga ila wengi wapo Songea na Mbeya kibiashara tu, Ila Mama yake Sugu alikua Chinga
Sent using Jamii Forums mobile app
Pale Mtwara walikua na nyumba yao enzi hizo, nafikiri mtaa wa Kiyangu. Miaka ile ya 1993-1996 Mh Sugu alikua anatembelea sana Mtwara. Niliwahi kusikia kua aliwahi kusoma shule ya Sekondari kule Mtwara nadhani Sabasaba Day Sec, ingawa sina uhakika kama ni kweli au la.
shukrani