Marine creature
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 2,259
- 2,971
mchaga wa rombo mkuuMpogoro pure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mchaga wa rombo mkuuMpogoro pure
Bang bros
Wabeja namhala [emoji1545][emoji1545]
Haina nomamchaga wa rombo mkuu
Fid sio msukuma ni MUHAYAMwana FA - Mdigo
Kingwendu - Mzaramo
Mc Pilipili - Mgogo
Ben Pol - Mgogo
Fid Q - Msukuma
Sent using Jamii Forums mobile app
Naluhokwe ndio kabila gani mkuu?Msaga sumu -Mmawiya
Mrisho mpoto - Mmalaba
20% - Mmawiya
Harmonize - uchicheme uchi mumunye
Mzee WA BWAX - msukupai
Shetta - mnachilingo
Marioo - shirshama
Jay melody - wa2 wa Kwny apocalypse ya Jaguar
Rayvanny - mnyakusa
AY - mmakonde pure
KR - naluhokwe
Ferooz - naluhokwe
Meja kunta - mmapengo
Mbona karibu wote ni Wazaramo na Wamakonde#Diamond na Ali Kiba: Almost every body know about them
1. Sugu ( Joseph Mbilinyi) - Mkinga
2. Professor Jay (Joseph Haule ) - Mngoni
3. Lady Jay Dee ( Judith Wambura Mbibo) - Mkurya
4. Inspector Haroun - Msukuma/ Mzaramo (Baba ake na Haruna marehemu Mzee Rashid Juma Kahena alilowea uzaramuni " Kisarawe vijijini" miaka ya sitini, akaoa Mzaramo ( mama Zena/ mama ake Haruna) then baadae akahamia Kisarawe mjini then Temeke. Kwa miaka yote aliyo kaa uzaramuni Mzee huyu alijikuta akiwa ame integrate kwenye uzaramuni.
5. Luteni Kalama (Kalama Bakar) - Mzaramo.
6. Juma Nature (Juma Kassim Kiroboto) - Mzaramo/ Mngindo.
7. Solo Thang (Msafiri Kondo) - Mzaramo.
8. Tid (Khalid Mohamed) - Mmakonde (but anadai ana asili ya ungazija)
9. Jay Moe (Juma Mohamed Mchopanga)....Mmakonde.
10. Mr. Blue (Heri Sameer) - mama Mzaramo wa Mlandizi Baba Msudani.
11. Chid Beenz (Rashid Abdallah Makwiro) - Baba wa Tanga (probably Mzigua au Mdigo) mama wa Iringa probably Mhehe.
12.Lord Eyes - Baba Mjita mama mchaga.
13. JCB (Jacob Makala) - Msukuma.
14. Wema Sepetu - Mama mtu wa Singida, Baba Mnyamwezi.
15. Hamisa Mobeto - Mnyamwezi.
16. Swebe - Mnyamwezi.
17. Dyna Nyange - Mrangi.
18. Jux - Mmakonde.
Endelea kuiririka na wewe
Wamakonde weny rangi ya BlueNaluhokwe ndio kabila gani mkuu?
TID si ni mzenji au! hata kwenye ngoma yake ya "mahaba ya dhati"....anasema njoo nikupe mahaba ya kwetu Pembaa...#Diamond na Ali Kiba: Almost every body know about them
1. Sugu ( Joseph Mbilinyi) - Mkinga
2. Professor Jay (Joseph Haule ) - Mngoni
3. Lady Jay Dee ( Judith Wambura Mbibo) - Mkurya
4. Inspector Haroun - Msukuma/ Mzaramo (Baba ake na Haruna marehemu Mzee Rashid Juma Kahena alilowea uzaramuni " Kisarawe vijijini" miaka ya sitini, akaoa Mzaramo ( mama Zena/ mama ake Haruna) then baadae akahamia Kisarawe mjini then Temeke. Kwa miaka yote aliyo kaa uzaramuni Mzee huyu alijikuta akiwa ame integrate kwenye uzaramuni.
5. Luteni Kalama (Kalama Bakar) - Mzaramo.
6. Juma Nature (Juma Kassim Kiroboto) - Mzaramo/ Mngindo.
7. Solo Thang (Msafiri Kondo) - Mzaramo.
8. Tid (Khalid Mohamed) - Mmakonde (but anadai ana asili ya ungazija)
9. Jay Moe (Juma Mohamed Mchopanga)....Mmakonde.
10. Mr. Blue (Heri Sameer) - mama Mzaramo wa Mlandizi Baba Msudani.
11. Chid Beenz (Rashid Abdallah Makwiro) - Baba wa Tanga (probably Mzigua au Mdigo) mama wa Iringa probably Mhehe.
12.Lord Eyes - Baba Mjita mama mchaga.
13. JCB (Jacob Makala) - Msukuma.
14. Wema Sepetu - Mama mtu wa Singida, Baba Mnyamwezi.
15. Hamisa Mobeto - Mnyamwezi.
16. Swebe - Mnyamwezi.
17. Dyna Nyange - Mrangi.
18. Jux - Mmakonde.
Endelea kuiririka na wewe
Nend Wikipedia, set Kiswahili then type "Juma jux "TID si ni mzenji au! hata kwenye ngoma yake ya "mahaba ya dhati"....anasema njoo nikupe mahaba ya kwetu Pembaa...
Na nani kakwambia kuwa Jux ni mmakonde?
Hapo kwa Barnaba umedanganya
either kwa Makusudi au bila kujua
1. Khadija Omar Kopa (khadija kopa) = Mzenji
2. Mzee Yussuf = Mzenji
3. Khadija Yussuf = Mzenji
4. Hammer Q = Mzenji
5. Ali Toli (AT) = Mzenji
6. Lil geto wa akhenato record = Mzenji
7. Nedy Music = Mzenji
8. Khalid Mohd (TID) = Mzenji
9. Issa Matona (marhum) = Mzenji
10. Omar Kopa (marhum) = Mzenji
11. Salama Jabir = Mzenji
12. Meena Ally wa clouds = Mzenji
13. Sharifa (comedian anayeishi USA) = Mzenji
14.Lamar (producer wa fish crab) = Mzenji
15. Kaliser (model) = Mzenji, japo kaloweya sana temeke kwa aziz ali.
16. Zungu (dancer wa diamond) = Mzenji
17. Feisal (fey) toto = Mzenji
18. Riyama Ally = Mzenji ila kaloweya sana dar
19. Nisha Jabu (bongomovie) = Mzenji ila kaloweya sana dar
20. Khadija Mnoga (kimobitel) = Mzenji ila kwao sidhani kama atarudi tn.
21. Jamila (baby J) = Mzenji
22. Sultan King = Mzenji
nikiwakumbuka wengine nitawalist...
Dah nilikuwa najuaga Riyama Ally ni mdigo wa Tanga KUMBE mzenji?1. Khadija Omar Kopa (khadija kopa) = Mzenji
2. Mzee Yussuf = Mzenji
3. Khadija Yussuf = Mzenji
4. Hammer Q = Mzenji
5. Ali Toli (AT) = Mzenji
6. Lil geto wa akhenato record = Mzenji
7. Nedy Music = Mzenji
8. Khalid Mohd (TID) = Mzenji
9. Issa Matona (marhum) = Mzenji
10. Omar Kopa (marhum) = Mzenji
11. Salama Jabir = Mzenji
12. Meena Ally wa clouds = Mzenji
13. Sharifa (comedian anayeishi USA) = Mzenji
14.Lamar (producer wa fish crab) = Mzenji
15. Kaliser (model) = Mzenji, japo kaloweya sana temeke kwa aziz ali.
16. Zungu (dancer wa diamond) = Mzenji
17. Feisal (fey) toto = Mzenji
18. Riyama Ally = Mzenji ila kaloweya sana dar
19. Nisha Jabu (bongomovie) = Mzenji ila kaloweya sana dar
20. Khadija Mnoga (kimobitel) = Mzenji ila kwao sidhani kama atarudi tn.
21. Jamila (baby J) = Mzenji
22. Sultan King = Mzenji
nikiwakumbuka wengine nitawalist...