Uncle Elroy
JF-Expert Member
- May 22, 2016
- 1,177
- 1,090
ubaguzi na ukabila mikoa yote yenye ukabila hamna maendeleo
Kagera
kilimanjaro
Huwezi kuta miji hii inakua kwa kasi kama sehemu ambazo watu wa makabila yote wanakutana kama kahama,mwanza,Arusha,Dar na mbeya
Ushawah kufika Kilimanjaro kweli wewe?Wachaga nawakubali sana kwenye bishara, lakini Cha ajabu Kilimanjaro bado ni maskini tuu kama mikoa mingine, sijui wanakosea wapi
Angalia commentLipi
Kenya wamezidi😅😅😅ila wanafanana na Kilimanjaro & Arusha...Kenya mtu akitaja jina lazima ahusishe na kabila lake..utasikia huyo mama mkisiiiKilimanjaro kuna ukabila? Umewahi kuishi Kenya? Hivi sio makabila mengine yanayokataa kuoa uchagani? Sasa hapo unaweza kusema Kilimanjaro kuna ukabila au wao ndo ambao wanabaguliwa?
Kenya wamezidi[emoji28][emoji28][emoji28]ila wanafanana na Kilimanjaro & Arusha...Kenya mtu akitaja jina lazima ahusishe na kabila lake..utasikia huyo mama mkisiii
Kilimanjaro kuna ukabila? Umewahi kuishi Kenya? Hivi sio makabila mengine yanayokataa kuoa uchagani? Sasa hapo unaweza kusema Kilimanjaro kuna ukabila au wao ndo ambao wanabaguliwa?
Kumbe hujui kituWachaga nawakubali sana kwenye bishara, lakini Cha ajabu Kilimanjaro bado ni maskini tuu kama mikoa mingine, sijui wanakosea wapi
Hebu tumia, Japan, Austria, China na Uingereza kusisitiza point yakoAmani ni dalili ya ujinga na upumbavu!!!
Mwenye akili hawezi kutulia mambo hayaendi na kuna ujinga atulie! Never
Ila wachaga msiwachukulie poa. Mimi nimesoma kabisa kwenye bibilia kuna ukoo wa Mushi. Hizi njemba zimetoka mbali sana. Mambo ya Nyakati 23:30
Hebu tumia, Japan, Austria, China na Uingereza kusisitiza point yako
Kumbe hujui kitu
Kwa mujibu WA NBS
Kilimanjaro ni mkoa WA 2 kwa wananchi wake kuwa na kipato kikubwa Baada ya dar
Kilimanjaro 90% ya wananchi wake Wana kipato kikubwa,pia ni mkoa WA pili kwa makazi bora na huduma toshelezi za kijamii sote vijijin
Huu huzi si wa ukabila ,, lakini ni chachu kwa mwanaume wap kwa kwenda kuoa[emoji3][emoji3]Usije ukasema wanao vichwa vizito!!
Kadiri ya utafiti uliofanywa na marekani haya ndio makabila yenye watu wenye akili zaidi Africa
1. Kabila la Igbo , Nigeria,
2.Kabial la Lebou, Senegal,
3.Kabila la Gurage ,Ethiopia,
4.Kabila la watutsi , Africa ya kati
5. Kabila la Venda,South Africa
Wenye uwezo nendeni Nigeria ,, hao jamaa dunia nzima inawaheshimu.
Nimegundua kwanini Hata swala la muungano Kwa nini Linasumbua….Wameshikilia udini,uarabu, na uniniii…..