Punguza jazba huu mchezo hautaji hasiraNilijua utasema tuu. Eti wachaga, roho mbayaaa kufa hufi. Wachaga wamekufanya nini? Utakufa huku unawachukia. Mtu akikuzidi usimchukie jitahidi na wewe. Kila kitu hapa tz ni wachaga kuwa hata na aibu basi
Nawapenda wadigo wanavyoongea hasa waongee kidigo napenda sana wa tanga wasambaa wabondei ndio hua wnanuchekesha wengine watu wa unguja jamani wananipa shidaamie mombasa na tanga naweza lala nikisikiza wakiongea.... wamakonde wapemba wanichekesha
Sikutegemea ndan ya comments 3 za mwanzo kihaya kisitajwe. Lakin naona kadri unavyoelekea magharib mwa Tanzania ndivyo na kiswahili kinavyopata lafudhi ya kuzorota mno. Kama ya kishamba vile. Ukiwa burund mf mtaa wa buyenz utacheka sana. Waganda kiswahili kiligoma kabsa bora drc.. Na drc goma ndo bas tena had misamiat isiyopatkana kwenye kamus.Kihaya bana ndio mpango mzima
Hapana wala sijui wakimataifa wamefanya nini...ninapenda sana kina nyoshi, chai jaba na wenzao wanavyobongaHahahahaha Unawasema Wakimataifa
mtoa mada anachotaka ni wewe binafsi...personally...utaje lafudhi unayoichukia na unayoipenda..fullstopS
Sikutegemea ndan ya comments 3 za mwanzo kihaya kisitajwe. Lakin naona kadri unavyoelekea magharib mwa Tanzania ndivyo na kiswahili kinavyopata lafudhi ya kuzorota mno. Kama ya kishamba vile. Ukiwa burund mf mtaa wa buyenz utacheka sana. Waganda kiswahili kiligoma kabsa bora drc.. Na drc goma ndo bas tena had misamiat isiyopatkana kwenye kamus.
lafudhi gani huwa unaona nzuri?
zipi unaona mbaya?
zipi zinakuchekesha?
mi lafudhi ya kisafwa na kisukuma huwa naona mbaya hasa kwa wanawake. zimekaa kibabe.
wafipa huwa naona lafudhi yao poa.
wangoni na wamasai hunichekesha kwa lafudhi na maneno yao.
waha wa kigoma wako vizur
Kuna wale jamaa wanaitwa wairaq wana rafudhi tamu sana.
ujiji kama tanga shekheWaha hawajuwi Kiswahili, labda wa ujiji kidogo ila Kibondo, Kasulu, Kakonko, hovyo kabisaaa, kazi kuruka na ungo tu.
Kwan wachaga nao wamekua mkuu wakaya hadi wasikosolewe, ilikua sijui hiliNilijua utasema tuu. Eti wachaga, roho mbayaaa kufa hufi. Wachaga wamekufanya nini? Utakufa huku unawachukia. Mtu akikuzidi usimchukie jitahidi na wewe. Kila kitu hapa tz ni wachaga kuwa hata na aibu basi
ni hayo tuDah!! We Kiboko.
mkudyamkulya =mkurya.
Bas sawa! Naona kuna na vya kuichukia lafudhi ya mtu mwingine. ( au mi ndo sielew tofauti ya kutopenda kitu na kukichukia kitu!)mtoa mada anachotaka ni wewe binafsi...personally...utaje lafudhi unayoichukia na unayoipenda..fullstop
Ndoo kabila gani hilo?mkudya