Makaburi kuhamishwa kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege JNIA

Makaburi kuhamishwa kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege JNIA

Makaburi zaidi ya 600 yaliyopo Kata ya Kipawa Dar es Salaam yanatarajiwa kuhamishwa ili kupisha upanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere. Kwa sasa, usajili wa ndugu unaendelea ili kufanikisha shughuli ya kuyahamisha.

Chanzo: azamtvtz

Kwa tuliowahi kuishi Ilala na wale ambao mnaishi hadi leo nadhani mtakuwa ni Mashuhuda wazuri wa Mambo gani yalitokea na yanatokea hadi leo baada ya Zoezi hili la Kikatili kufanyika katika Makaburi ya Karume miaka mingi iliyopita.
Genta
Umesahau mipango mingi ya mamlaka zetu hufanyika na kuweka kwenye makabati? Wakati wa utekekezaji ndo wanakurupuka na ushubwada kama huo.


Hapo kwenye kuhamisha makaburi kuna 10% za watu na makaburi ya ziada, ndo urefu wa kamba zao
 
Back
Top Bottom