Makaburi zaidi ya 600 yaliyopo Kata ya Kipawa Dar es Salaam yanatarajiwa kuhamishwa ili kupisha upanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere. Kwa sasa, usajili wa ndugu unaendelea ili kufanikisha shughuli ya kuyahamisha.
Chanzo: azamtvtz
Kwa tuliowahi kuishi Ilala na wale ambao mnaishi hadi leo nadhani mtakuwa ni Mashuhuda wazuri wa Mambo gani yalitokea na yanatokea hadi leo baada ya Zoezi hili la Kikatili kufanyika katika Makaburi ya Karume miaka mingi iliyopita.