Makachu divers wahamia Dar baada ya kutimuliwa Zanziber

Makachu divers wahamia Dar baada ya kutimuliwa Zanziber

Hawa jamaa Makachu divers wamejizolea sifa nyingi zanziber lakini ghafla serikali ya zanziber imesitisha huu mchezo. Ila nasikia wamehamia coco beach.

Kabla ya kuruhusu huu mchezo ni bora kuangalia yaliyosababisha ukafungiwa zanziber yasijejitokeza na huku. Pili huu mchezo ni kama hatarishi kwani mtu asiyekuwa na ujuzi wa kuogelea anaweza zama na kupoteza maisha

Tatu, upo uwezekano waovu wanaojulikana kama beach boys wakautumia vibaya na kuleta taharuki kwenye jamii.

Nne, ni vyema kila jambo linalofanyika nchini lifanyike kwa uratibu ili kulinda usalama na maudhui ya watu, huu mchezo huchezwa huku wakijirekodi na kurusha mitandaoni, ni vyema maudhui haya yakaratibiwa.
Yaani vipaji hatuendelezi bali tunazuia bila kuwapa alternatives
 
Yaani vipaji hatuendelezi bali tunazuia bila kuwapa alternatives
Mazungumzo yanafanyika. Wataachiwa tu soon
IMG-20241222-WA0039.jpg
 
Hawa jamaa Makachu divers wamejizolea sifa nyingi zanziber lakini ghafla serikali ya zanziber imesitisha huu mchezo. Ila nasikia wamehamia coco beach.

Kabla ya kuruhusu huu mchezo ni bora kuangalia yaliyosababisha ukafungiwa zanziber yasijejitokeza na huku. Pili huu mchezo ni kama hatarishi kwani mtu asiyekuwa na ujuzi wa kuogelea anaweza zama na kupoteza maisha

Tatu, upo uwezekano waovu wanaojulikana kama beach boys wakautumia vibaya na kuleta taharuki kwenye jamii.

Nne, ni vyema kila jambo linalofanyika nchini lifanyike kwa uratibu ili kulinda usalama na maudhui ya watu, huu mchezo huchezwa huku wakijirekodi na kurusha mitandaoni, ni vyema maudhui haya yakaratibiwa.
Wamekuja kwa mwaliko maalum mkuu.

Zanzibar wameshawekana sawa. Watarudi kuendelea na ukachu wao
 
Ina mzuka wake sana hiyo, utotoni mpaka umri fulani ilikuwa watoto wa mtaani kwetu hutuambii kitu, ikifika jioni.
Kutoka home mpaka ufukweni hazizidi mita 500,tulikuwa addicted na michezo hiyo na beach soccer, maji yakitoka huwa kuna kuwa na ardhi fulani ngumu ngumu halafu imenyooka sana, uzuri eneo tunaloishi fukwe yake hakuna mawe mawe.
Hapo tunatoka home pekupeku, kwenda na viatu ni kama kujipa mzigo, ni pekupeku na nguo za bichi tumevaa kabisa, kipensi na jezi ama vest, tukifika huko kazi ni moj tu, tynacheza mpira weee, kisha jua linapoanza kuzama, mpira tunaumaliza ni mwendo wa kupiga michomo tu.

Now days inaweza katika miaka hata mi3 nikawa sijafika beach.
 
Hawa jamaa Makachu divers wamejizolea sifa nyingi zanziber lakini ghafla serikali ya zanziber imesitisha huu mchezo. Ila nasikia wamehamia coco beach.

Kabla ya kuruhusu huu mchezo ni bora kuangalia yaliyosababisha ukafungiwa zanziber yasijejitokeza na huku. Pili huu mchezo ni kama hatarishi kwani mtu asiyekuwa na ujuzi wa kuogelea anaweza zama na kupoteza maisha

Tatu, upo uwezekano waovu wanaojulikana kama beach boys wakautumia vibaya na kuleta taharuki kwenye jamii.

Nne, ni vyema kila jambo linalofanyika nchini lifanyike kwa uratibu ili kulinda usalama na maudhui ya watu, huu mchezo huchezwa huku wakijirekodi na kurusha mitandaoni, ni vyema maudhui haya yakaratibiwa.
zanziber?
 
Back
Top Bottom