Makada wa CCM acheni kupotosha umma. Hakuna mafanikio yaliyoletwa kwa wananchi na CCM kama mnavyotamba na kudanganya umma

Makada wa CCM acheni kupotosha umma. Hakuna mafanikio yaliyoletwa kwa wananchi na CCM kama mnavyotamba na kudanganya umma

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Maji safi na salama ni janga la kitaifa. Miaka 60 ya uhuru mnashindwa kusambaza maji safi na salama. Mfano ni mji kama Chato upo kma moja karibua na ziwa lakini wananchi hawapati maji safi na salama.

Elimu imeporomoka mithili ya barafu mlima kilimanjaro. Mmjejenga mashule kibao ya kata. Lakinj ubora wa elimu ni wa hovyo kabisa. Watoto wanamaliza fomu foo hawaajui hata kuandika. Hawajui hata Kenya kama ipo Africa.

Mitaani hali ya uchumi ni mbaya kuliko. Mama ntilie wanadaiwa na kausha damu, walimu wapo hoi wanadaiwa na kausha damu. Madaktari wamebakiza kuishi kwa.matumaini. Taifa lina uchumi mfu. Ambao hata ukiwekeza kutoboa mpaka udaiwe na kufirisika.

Wapi sasa CCM imeleta mafanikio zaidi kutumia vyombo vya ulinzi na usalama kujikita madarakani.
 
wanaenda kukopa matrilion wanajenga reli ,lami na vitua vya afya ambavyo havina madaktari wala dawa .

halafu wajinga kila pembe ya nchi Wanabweka Mama mama mama mama kama matahira
 
wanaenda kukopa matrilion wanajenga reli ,lami na vitua vya afya ambavyo havina madaktari wala dawa .

halafu wajinga kila pembe ya nchi Wanabweka Mama mama mama mama kama matahira
Upuuzi.
 
Maji safi na salama ni janga la kitaifa. Miaka 60 ya uhuru mnashindwa kusambaza maji safi na salama. Mfano ni mji kama Chato upo kma moja karibua na ziwa lakini wananchi hawapati maji safi na salama.

Elimu imeporomoka mithili ya barafu mlima kilimanjaro. Mmjejenga mashule kibao ya kata. Lakinj ubora wa elimu ni wa hovyo kabisa. Watoto wanamaliza fomu foo hawaajui hata kuandika. Hawajui hata Kenya kama ipo Africa.

Mitaani hali ya uchumi ni mbaya kuliko. Mama ntilie wanadaiwa na kausha damu, walimu wapo hoi wanadaiwa na kausha damu. Madaktari wamebakiza kuishi kwa.matumaini. Taifa lina uchumi mfu. Ambao hata ukiwekeza kutoboa mpaka udaiwe na kufirisika.

Wapi sasa CCM imeleta mafanikio zaidi kutumia vyombo vya ulinzi na usalama kujikita madarakani.
Sasa imeanza.kuwa na akili
 
Maji safi na salama ni janga la kitaifa. Miaka 60 ya uhuru mnashindwa kusambaza maji safi na salama. Mfano ni mji kama Chato upo kma moja karibua na ziwa lakini wananchi hawapati maji safi na salama.

Elimu imeporomoka mithili ya barafu mlima kilimanjaro. Mmjejenga mashule kibao ya kata. Lakinj ubora wa elimu ni wa hovyo kabisa. Watoto wanamaliza fomu foo hawaajui hata kuandika. Hawajui hata Kenya kama ipo Africa.

Mitaani hali ya uchumi ni mbaya kuliko. Mama ntilie wanadaiwa na kausha damu, walimu wapo hoi wanadaiwa na kausha damu. Madaktari wamebakiza kuishi kwa.matumaini. Taifa lina uchumi mfu. Ambao hata ukiwekeza kutoboa mpaka udaiwe na kufirisika.

Wapi sasa CCM imeleta mafanikio zaidi kutumia vyombo vya ulinzi na usalama kujikita madarakani.
uoga wako ndio umaskini wako gentleman,
utaishi sana kwa wazazi mpka uote upara na mvi ukiwa mvivu na mwenye lawama za hovyo kama hizo 🐒
 
Anajisifu kwa kukopa sana na kuongeza deni la taifa mara dufu. Kamanda Traore kamaliza deni la nje ndani ya miaka mitatu mwingine anajisifu kupaisha deni mara dufu ndani ya miaka mitatu.
 
Maji safi na salama ni janga la kitaifa. Miaka 60 ya uhuru mnashindwa kusambaza maji safi na salama. Mfano ni mji kama Chato upo kma moja karibua na ziwa lakini wananchi hawapati maji safi na salama.

Elimu imeporomoka mithili ya barafu mlima kilimanjaro. Mmjejenga mashule kibao ya kata. Lakinj ubora wa elimu ni wa hovyo kabisa. Watoto wanamaliza fomu foo hawaajui hata kuandika. Hawajui hata Kenya kama ipo Africa.

Mitaani hali ya uchumi ni mbaya kuliko. Mama ntilie wanadaiwa na kausha damu, walimu wapo hoi wanadaiwa na kausha damu. Madaktari wamebakiza kuishi kwa.matumaini. Taifa lina uchumi mfu. Ambao hata ukiwekeza kutoboa mpaka udaiwe na kufirisika.

Wapi sasa CCM imeleta mafanikio zaidi kutumia vyombo vya ulinzi na usalama kujikita madarakani.
Maendeleo wanayoyaongelea ni wao kujimilikisha uchumi wa Tanzania. Imagine Hadi wake wa wastaafu wanalipwa mafao sijuwi ya Nini Yale. Ni hicho walichofanikiwa kuwaletea watanzania.
 
Back
Top Bottom