Neno jema la faraja na la kweliUjenzi wa nyumba ni mradi, sawa na kumsomesha mtoto toka chekechea mpaka chuo kikuu, kipindi unaanza kusomesha ukipigiwa hesabu utachoka, ujenzi ili usikupe mawazo kila mwezi peleka site kiasi flani ambacho kitasaidia kununulia mahitaji . Jenga hata kwa miaka 10 mwishowe itaisha tu na kuhamia kwako ambako ndo utapiga hesabu ya gharama uliyotumia.
Ebu tupe mchanganuo ulikuwaje kuanzia ujenzi paka mwishoNilimaliza kwa 26.8 tu
Vipi mkuu Papizo ushamaliza?Haya wakuu wa JF kama mna mafundi wazuri na waaminifu tafadhali wekeni number zako au nitumieni number zako tafadhali me hasaaa nilikuwa nataka kujenga msingi mpaka kupiga jamvi then nitaendelea pole pole na ikiwezekana nianze kupandisha pole pole sasa msaada unahitajika na eneo ni kigamboni.......
Wasiliana na umoja wa UVIMO, ni wajenzi na wapauaji.Habarini wakuu, naomba kama kuna mwenye uzoefu anipe makadirio ya gharama ya ujenzi wa nyumba ya vyumba vi 3 (chumba kimoja self na viwili vya kawaida), sitting, dinning, jiko, (choo na bafu public).
Nataka kutumia matofali ya kuchoma ambapo tofali moja linauzwa sh 120.
Msingi utatumia matofali ya block.
Heshima kwenu.
Yeye pia ni 16 kwa 12Msingi wangu ukubwa wake ni 16x12 waliujenga kwa siku mbili,siku ya pili walimalizia kwa kusuka nondo na kumwaga zege.....!!!kuwalipa kwa siku kwangu ilikuwa rahisi kwa sababu nilikuwa nalipa idadi ya mafundi na vibarua,fundi mmoja nilikuwa namlipa elfu 20 na kibarua elfu 10,fundi mkuu nilikuwa namlipa elfu 40,labda na gharama za maji kwa sababu sikuwa nimevuta maji,ambapo kwa pipa nililipa 2500....!!!boma hadi muda huh llimekwisha,linta ndo naweka mwezi ujao Mungu akinijalia uzima na kama mipango yangu itaenda vzr.....!!swala la msingi hapa,anza ujenzi,taratibu utaendelea kutokana na unavyopata pesa.......!!plani yangu ya kuezeka ni mwezi wa tano mwakani,lakini muda huu nipo site ya rafiki yangu wapo wanaezeka,bati alininua ijumaa za alaf,bati 130 kila bati sh 24 elfu,mano za kenchi amenunua jana mbao 310 kwa shilingi 2100000/- fundi wa kufunga kenchi na kuezeka analipwa sh 700000/.....