sweetapple
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 533
- 461
Halafu Wewe.Naomba unapoona nimekupa Ujumbe Zingatia.Ila usidhani unachojibu nakisoma.kwa.Maana nikiona Alert ya Nina lako Eti Kuna Ujumbe wako sisomi.Sitaki mazoea Na Wewe.Huwa sijibu pm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu Wewe.Naomba unapoona nimekupa Ujumbe Zingatia.Ila usidhani unachojibu nakisoma.kwa.Maana nikiona Alert ya Nina lako Eti Kuna Ujumbe wako sisomi.Sitaki mazoea Na Wewe.Huwa sijibu pm
Ni zile za migongo midogo,za rangi ya blue,mita 3 x1Vizuri, umetembea vizuri sana. Na watu wasichofahamu ni kuwa. Ukijenga nyumba kwa gharama na bei za kupigwa,ikija kutokea unataka say kuiuza ama kuikopea, utapewa valuation ndogo sana tofauti na gharama yako ulojengea. But hutokuwa nawa kumlaumu, maana makosa utakuwa umeyafanya wewe katika usimamizi wa ujenzi.
Kingine, mafundi wengi siku hizi wanawapiga wateja wao katika material. Wameachana na njia ya kizamani ya over pricing ya material. Hii ilikuwa say bati ni sh 20000, anawambia 21000 but siku hizi say zinahitajika bati 100, wewe unaweza ambiwa zinahitajika bati 130, automaticaly hapo bei ya bati 30 utakuwa umepigwa.
Halafu hizo bati za ALAF ni za ukubwa gani kwa hiyo bei.?
Ni zile za migongo midogo,za rangi ya blue,mita 3 x1
Ni za alaf na zina ule muhuri wao,maana tumezichukua kutoka kwa agent wao.......Mkuu una uhakika hizo bari ni alaf.? maana Alaf bei yake si mchezo.
kwani kuna ghalama za kimaskini na za kipato cha juu,,mm nilikua sijuh aiiseWazo la msingi.
Ila huja tabainisha kuwa ni gharama za kimaskini au za kipato cha juu.
duuh wap huko mfuko wa cement unauzwa kabei hyoKweli mkuu,mimi nina nyumba yangu mchakato wake nilianza january mwaka huu...ina master moja,Bedroom tatu,sitting room,dining,kitchen,choo na bafu.Nimefyatua tofari za Block 4000 mimi mwenyewe....gharama yake nimekokotoa kwa kila tofari ni km 770....nilinunua cement kwa 19500 kwa mfuko.Hii ni phase one...so next month nategemea ujenzi uanze mwanzo mpala mwisho maana nimebakiza Nondo tu...na kokoto...Kupaua bado sana bajeti sijaiweka
Hujakosea kabisaa mkuu upo sahihi na ndio maana akafanya hivyo maana ujenzi sipo vizuri na hasaa nilimbana kwenye vifaaa aliweka idadi ten vyote nikaenda kununua mwenyewe nikawa nime save kama 3M hivi....sasa naona hakupendaaa imenibidi nikae kwanza nifatilie na kuulizia zaidi....
Labour charge haiwezi fika million 7 kwa msingi peke yake. Hata ujenzi wa nyumba nzima sidhani kama unafika huko.
Kiufupi gharama za labor charge kwa fundi bati, ujenzi, umeme, bomba haiwezi fika hiyo gharama kikawaida. Iweje wewe msingi tuu ulipe hiyo pesa.? Kukusaidia tuu hapo nafahamu gharama ujenzi kwa tofali moja huwa wanachaji sh 250 mpaka 350. Hii ni kwa dar es salaam. Sasa kwa kesi ya ujenzi wa msingi ongezea gharama za wachimbaji wa msingi na settings za msingi.
Simply hapo unaelekea kupigwa
Kama unajipenda na kutaka jengo bora usimtumie tena huyo, anatakupiga kwenye kumalizia nyumba vibaya ambabapo haitadumu au utapata shida kurudia rudia.
Pia jitahidi sana kuonyesha unajua na ile ya kama unataka kusikia ya mwingine.
Hata vya kuongea unatoa humu kujionyesha nawe upo unayajua kumbe ujanja tu muhimu wasikulize
Uko sawa mkuuYaan shida yako halafu shart et aku pm kama ungejua hivyo si usinge weka wazi watu tusingesumbuka et ni pm tuonge
Haya wakuu wa JF kama mna mafundi wazuri na waaminifu tafadhali wekeni number zako au nitumieni number zako tafadhali me hasaaa nilikuwa nataka kujenga msingi mpaka kupiga jamvi then nitaendelea pole pole na ikiwezekana nianze kupandisha pole pole sasa msaada unahitajika na eneo ni kigamboni.......
jamani naomba kujuzwa kwa wale wachora ramani na wajenzi.
je inawezekana kuibadirisha ramani kwa nyumba iliyojengwa ikafika nusu halafu ikabadirishwa kwa kutumia msingi uleule??
Bariadi vijijini huko mkuu,sasa hivi mfuko umeshuka uko 16500duuh wap huko mfuko wa cement unauzwa kabei hyo
Mzingo wa nyumba yako ni 13+15+13+15= 56m gawanya kwa 0.45 hapo utapata ni tofali ngapi zinafanya mzunguko mmoja. Ukizidisha na kozi za nyumba utajua unahitaji tofali ngapi. Hilo ni kadirio la juu kabisa na wala usiongeze hata tofali moja kwani wakati wa ujenzi kuna milango na madirisha.↑
nami pia nipeni gharama ya kujenga nyumba mpaka kwenye linta tofali nishapiga ukubwa wa nyumba ni 13mmx15mm ya vyumba 4 eneo lilipo ni tanga mjini.
Millioni 15 - 20
Sio 13mmx15mm, ni 13m by 15m
Mzingo wa nyumba yako ni 13+15+13+15= 56m gawanya kwa 0.45 hapo utapata ni tofali ngapi zinafanya mzunguko mmoja. Ukizidisha na kozi za nyumba utajua unahitaji tofali ngapi. Hilo ni kadirio la juu kabisa na wala usiongeze hata tofali moja kwani wakati wa ujenzi kuna milango na madirisha.
Haya wakuu wa JF kama mna mafundi wazuri na waaminifu tafadhali wekeni number zako au nitumieni number zako tafadhali me hasaaa nilikuwa nataka kujenga msingi mpaka kupiga jamvi then nitaendelea pole pole na ikiwezekana nianze kupandisha pole pole sasa msaada unahitajika na eneo ni kigamboni.......
Kuna gtoup moja facebook linaitwa "Ujenzi zone"
Kuna mengi, maswali na majibu, ushauri etc
Itakupa moyo pia