shushushu VIP
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 4,799
- 4,312
Tofali za kuchoma ni 120 mpaka 100Sawa sawa nashukuru sana na asante sanaa huko tofali bei gani??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tofali za kuchoma ni 120 mpaka 100Sawa sawa nashukuru sana na asante sanaa huko tofali bei gani??
Upo sahihi,mi yangu ina vyumba 3 pamoja na study room,msingi umenigharimu takribani 3.5m,mawe peke trip 20 zikinigharimu 1.1m,hadi muda huu ambapo sijafunga linta naweza kuwa nimetumia zaidi ya 7m(japo huwa situnzi kumbukumbu za gharama za kila siku..)
Tofali za kuchoma ni 120 mpaka 100
Upo sahihi,mi yangu ina vyumba 3 pamoja na study room,msingi umenigharimu takribani 3.5m,mawe peke trip 20 zikinigharimu 1.1m,hadi muda huu ambapo sijafunga linta naweza kuwa nimetumia zaidi ya 7m(japo huwa situnzi kumbukumbu za gharama za kila siku..)
Ivi maelewano yakumlipa fundi uwa yapoje unamlipa kwa kupandisha tofar yaan idad ya tofal ama ??
Jibu ni NDIYOHivi kujenga tu msingi inaweza kufika 7M kwa msingi peke yake....
sabau huyo umemuonyesha haujui kitu juu ya ujenzi, na hauna wakukushauri au kukuanbia ukweli.
Nakushauri ubute subira kupata info zaidi na labda hata mjenzi mzuri, muhimu sana hii kitu ya kuuliza watu wa karibu nawe. Ili wakupe na changamoto na ushauri, hata kukuambia mtu wa kukujengea ambae wameshamtumia.
Jibu ni NDIYO
Huwezi kuongelea gharama za Ujenzi bila kuwa na ramani ya nyumba husika. Kwanza ramani pili gharama.Habarini wakuu, naomba kama kuna mwenye uzoefu anipe makadirio ya gharama ya ujenzi wa nyumba ya vyumba vi 3 (chumba kimoja self na viwili vya kawaida), sitting, dinning, jiko, (choo na bafu public). Nataka kutumia matofali ya kuchoma ambapo tofali moja linauzwa sh 120. Msingi utatumia matofali ya block. Heshima kwenu.
Well said sister FF.Embu mwenye kujua mi nataka makadirio ya msingi tu nyumba kama iyo ya mtoa mada msingi utangia tofal ngapi za cement?
Nafanyia MwanzaSawa sawa mkuu na ujenzi wako unafanyia dar ay mkoani??nadhani kama wadau walivyosema inategemeana na eneo ulipo.....na mafundi wako wazuri lakini??
Nafanyia Mwanza-Nyamhongoro(ilemela)Sawa sawa kiongozi na ujenzi wako unafanyia dar au unafanyia wapi hasaaa??
Mafundi wapo vzr,na huwa nawalipa kwa siku,material zote nanunua mwenyewe......!!kwe linta ambayo natarajia kufunga mwezi ujao ndo nitawalipa kwa jimla........!!!Sawa sawa mkuu na ujenzi wako unafanyia dar ay mkoani??nadhani kama wadau walivyosema inategemeana na eneo ulipo.....na mafundi wako wazuri lakini??
Mafundi wapo vzr,na huwa nawalipa kwa siku,material zote nanunua mwenyewe......!!kwe linta ambayo natarajia kufunga mwezi ujao ndo nitawalipa kwa jimla........!!!
Hapo naongelea tu labour mkuu vifaa tukiweka pembeni hela ya fundi peke yake inaweza kufikia hiyo hela??
Msingi wangu ukubwa wake ni 16x12 waliujenga kwa siku mbili,siku ya pili walimalizia kwa kusuka nondo na kumwaga zege.....!!!kuwalipa kwa siku kwangu ilikuwa rahisi kwa sababu nilikuwa nalipa idadi ya mafundi na vibarua,fundi mmoja nilikuwa namlipa elfu 20 na kibarua elfu 10,fundi mkuu nilikuwa namlipa elfu 40,labda na gharama za maji kwa sababu sikuwa nimevuta maji,ambapo kwa pipa nililipa 2500....!!!boma hadi muda huh llimekwisha,linta ndo naweka mwezi ujao Mungu akinijalia uzima na kama mipango yangu itaenda vzr.....!!swala la msingi hapa,anza ujenzi,taratibu utaendelea kutokana na unavyopata pesa.......!!plani yangu ya kuezeka ni mwezi wa tano mwakani,lakini muda huu nipo site ya rafiki yangu wapo wanaezeka,bati alininua ijumaa za alaf,bati 130 kila bati sh 24 elfu,mano za kenchi amenunua jana mbao 310 kwa shilingi 2100000/- fundi wa kufunga kenchi na kuezeka analipwa sh 700000/.....
Acha utani bwana. Vyumba vitatu vya kulala pamoja na vyumba vingine vya lazima milioni 25? Hata 12? Hata kama hajasema anajenga wapi kwa ukubwa wa nyumba ya vyumba vitatu matofali ya kujengea msingi, nondo, kokoto, simenti, mchanga na labour havipungui robo ya hiyo milioni 25, bado kuta, linter, mbao,bati, mfumo wa maji taka, plasta, nyaya, ceiling, milango, madirisha - - - - - - - labda kama vifaa anapewa na baba mdogo.For real maelezo yko ni finyu kiasi cha mtu kushindwa kukupa exactly cost ya huo mjengo wako labda ungesema mahali ulipo, finishing ya hiyo nyumba na ufafanuz zaidi, lakn kwa ujumla km unataka iwe bora na ya kuvutia km materials yanapatkana kirahc andaa at least 25ml ila ya kawaida tu hata 12ml inatosha (Provided kiwanja unacho maana kinaweza kuwa ghari kushinda gharama za ujenzi!!)