Makadirio ya Gharama ya ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu 3

Makadirio ya Gharama ya ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu 3

We unasimuliwa au ulikuwa unawatumia wahuni ela wanapiga msingi huchukua matofali 1500 mpaka 2000 ambazo ni mil 1.5 mpaka m 2 na ela ya fund ikizid sana mil 3.5 jumlay msingi

Mkuu tofali na material kila kitu kipo shambani sema tofai zangu ni inch 6 na zipo 2000 hizo ni msingi peke yake sasa ikafikia kukubaliana mambo ya ujenzi tu hapo ndio akaniambia nimpe hiyo 7M wakati vitu vyote nimeshanunua na nimeweka kiwanjani......
 
Kuna watu wanajenga nyumba kwa 2milion maeneo mengne

Hiyo ni kweli kuna jamaa mafundi wake wamejenga nyumba nzuri na ni kiasi kidogo sanaa unaweza kunipa details za mafundi wazuri kama unazo??
 
Hiyo ni kweli kuna jamaa mafundi wake wamejenga nyumba nzuri na ni kiasi kidogo sanaa unaweza kunipa details za mafundi wazuri kama unazo??
Mm naongeleaa kwa mbeya kaka tofali bei ndogo sana
 
M 20 hadi 25 kama ya kisasa. 10 hadi 15 kama ya kawaida na ujenzi unasimamia mwenyewe
 
Mmeshaaajenga au bado mko kwenye nyumba za kupanga....!!.


Ni bora aliye mkadiria milioni 50....
 
Hizo nyumba gani mnaongelea? Yangu ina vyumba 4 imenigharimu takribani sh 120m hadi finishing. Msingi hadi lenta ilinigharimu takribani sh 20m.

Kama hata tenda ya ujenzi si ulitangaza kwny Daily news?[emoji3][emoji3][emoji3] kwa nn isifike Bei hiyo?
 
Mkuu tofali na material kila kitu kipo shambani sema tofai zangu ni inch 6 na zipo 2000 hizo ni msingi peke yake sasa ikafikia kukubaliana mambo ya ujenzi tu hapo ndio akaniambia nimpe hiyo 7M wakati vitu vyote nimeshanunua na nimeweka kiwanjani......

sabau huyo umemuonyesha haujui kitu juu ya ujenzi, na hauna wakukushauri au kukuanbia ukweli.

Nakushauri ubute subira kupata info zaidi na labda hata mjenzi mzuri, muhimu sana hii kitu ya kuuliza watu wa karibu nawe. Ili wakupe na changamoto na ushauri, hata kukuambia mtu wa kukujengea ambae wameshamtumia.
 
Ivi maelewano yakumlipa fundi uwa yapoje unamlipa kwa kupandisha tofar yaan idad ya tofal ama ??
 
Gharama zinatofautiana kati ya mji na mji sehemu na sehemu pia
Upo sahihi,mi yangu ina vyumba 3 pamoja na study room,msingi umenigharimu takribani 3.5m,mawe peke trip 20 zikinigharimu 1.1m,hadi muda huu ambapo sijafunga linta naweza kuwa nimetumia zaidi ya 7m(japo huwa situnzi kumbukumbu za gharama za kila siku..)
 
Back
Top Bottom