Makadirio ya Gharama ya ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu 3

Makadirio ya Gharama ya ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu 3

Hii ni ramani ya nyumba ya ndoto yangu. Na nina nia ya kuanza ujenzi mapema iwezekanavyo. Na kutokana utight wa maisha nafikiria kuanza sehemu ya nyumba kama nilivyoiattach. Nilitaka kufanya ujenzi wa kienyeji. Lkn kama atajitokeza mtaalam atakaeweza kunisaidia kufanya creativity ili nione taswira ya nyumba ikikamilika itaonekana vp na pia anishauri gharama kwa hiyo part ya hiyo nyumba kama itatosha 6 mil. Nitampa % kutokana kwny 6ml. Sijui kama nitaweza kuingia ndani ya siku 60. Nimeona badala ya kutumia 2m ya pango kwa miezi 6 nitumie pesa hizo na kuongezea 4m kujenga kwangu. Ramani hii nimeitoa kwa internet na asili yake ni ghorofa lkn mi nitajenga ya kawaida kwny kiwanya kilicho kwe mwinuko 20 x 60 ft
 

Attachments

  • IMG_20160606_224042_539.JPG
    IMG_20160606_224042_539.JPG
    6.3 KB · Views: 473
  • IMG_20160606_222628_627.jpg
    IMG_20160606_222628_627.jpg
    15.9 KB · Views: 471
Kuna mdau anataka kuanza ujenzi Nampa big up ila maandalizi yake anasema amefyatua tofali mwenyewe 4000 kwa gharama ya mfuko WA cement 19000,naomba kujua cement hiyo ni Tanzania hii hii au maana mtaani kwetu cement 12000- 13500,swala LA msingi je hizo gharama anapewa tu na fundi then ye anatoa hela? Maana ushauri ukitaka kweli kujenga buildings material inabidi uzunguke maduka kadhaa kufananisha bei vinginevyo utauziwa mfano WA cement 19000 wakati uliyemtuma kalipa 12500,huoni utakuwa unaibiwa kwa uvivu wako au ni contractors company ndio kakupa bei hiyo.
 
Hapana ukiwa na guvu Nazi mwenyewe ni milion kumi tu unapata kajumba kaukweli
 
nami pia nipeni gharama ya kujenga nyumba mpaka kwenye linta tofali nishapiga ukubwa wa nyumba ni 13mmx15mm ya vyumba 4 eneo lilipo ni tanga mjini.
 
Natumai humu ndani tuna WAKADILIA MAJENZI (QUANTITY SURVEYOR) sisi wengine ni WAPIMA/WATAALAMU WA SPATIAL DATA (GEOINFORMATICIAN)
Hao wakadilia majenzi ndo wataalam wa fani hiyo. Pamoja na hilo naomba nikupongeze sana kwa hatua unayoanza kuichukua. MUNGU akubariki akusimamie uweze kukamilisha kazi yako.
Pia kama utaitaji mtu maalumu wa kukufanyia kazi kwa bei nafuu naweza kukuunganisha unaweza nicheki UPENUNI

= wakadiria
 
Hongera bibi sasa wajukuu tutapata sehemu ya kuja kukaa.

AlhamduliLlah hiyo si ya kufikia wajukuu, za kufikia wajukuu zipo. Hiyo ni ya kupangisha kwa kampuni zinazojihusisha na uchimbaji na utafutaji wa gas, kwa specs zao.
 
Nakushaur ujenge nyumba ya matope ya vyumba vitatu naamini gharama itakua kama 150000 laki unusu hivi
 
Kuna mdau anataka kuanza ujenzi Nampa big up ila maandalizi yake anasema amefyatua tofali mwenyewe 4000 kwa gharama ya mfuko WA cement 19000,naomba kujua cement hiyo ni Tanzania hii hii au maana mtaani kwetu cement 12000- 13500,swala LA msingi je hizo gharama anapewa tu na fundi then ye anatoa hela? Maana ushauri ukitaka kweli kujenga buildings material inabidi uzunguke maduka kadhaa kufananisha bei vinginevyo utauziwa mfano WA cement 19000 wakati uliyemtuma kalipa 12500,huoni utakuwa unaibiwa kwa uvivu wako au ni contractors company ndio kakupa bei hiyo.
Atakuwa anajengea Kigoma mkuu maana me naiuza Dangote cement for that price
 
Embu mwenye kujua mi nataka makadirio ya msingi tu nyumba kama iyo ya mtoa mada msingi utangia tofal ngapi za cement?
 
Back
Top Bottom