Makadirio ya Gharama ya ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu 3

Makadirio ya Gharama ya ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu 3

Ujenzi wa nyumba ni mradi, sawa na kumsomesha mtoto toka chekechea mpaka chuo kikuu, kipindi unaanza kusomesha ukipigiwa hesabu utachoka, ujenzi ili usikupe mawazo kila mwezi peleka site kiasi flani ambacho kitasaidia kununulia mahitaji . Jenga hata kwa miaka 10 mwishowe itaisha tu na kuhamia kwako ambako ndo utapiga hesabu ya gharama uliyotumia.
 
Ujenzi wa nyumba ni mradi, sawa na kumsomesha mtoto toka chekechea mpaka chuo kikuu, kipindi unaanza kusomesha ukipigiwa hesabu utachoka, ujenzi ili usikupe mawazo kila mwezi peleka site kiasi flani ambacho kitasaidia kununulia mahitaji . Jenga hata kwa miaka 10 mwishowe itaisha tu na kuhamia kwako ambako ndo utapiga hesabu ya gharama uliyotumia.
Kweli mkuu,mimi nina nyumba yangu mchakato wake nilianza january mwaka huu...ina master moja,Bedroom tatu,sitting room,dining,kitchen,choo na bafu.Nimefyatua tofari za Block 4000 mimi mwenyewe....gharama yake nimekokotoa kwa kila tofari ni km 770....nilinunua cement kwa 19500 kwa mfuko.Hii ni phase one...so next month nategemea ujenzi uanze mwanzo mpala mwisho maana nimebakiza Nondo tu...na kokoto...Kupaua bado sana bajeti sijaiweka
 
Wazo la huyo jamaa na mm ninalo nina kiwanja Tabata kinyerez Dar es salaam nafikiria nijenge kwa tofali za udongo za kuchoma na ukubwa wa nyumba ni sawa na mtoa mada mngetusaidia kukadiria gharama na mm ningekua mnufaika wa hii mada
 
Ujenzi wa nyumba ni mradi, sawa na kumsomesha mtoto toka chekechea mpaka chuo kikuu, kipindi unaanza kusomesha ukipigiwa hesabu utachoka, ujenzi ili usikupe mawazo kila mwezi peleka site kiasi flani ambacho kitasaidia kununulia mahitaji . Jenga hata kwa miaka 10 mwishowe itaisha tu na kuhamia kwako ambako ndo utapiga hesabu ya gharama uliyotumia.
Asantee Maana nilianza kukata tamaa[emoji57] [emoji57]
 
Muuluza swali hakuweka details saws
1.je anajenga mji gani?
2. Je mjini au kijijini?
3. Je design ya nyumba ikoje ?
4. Je inafuata process zote za ujenzi ?
5. Akianisha hayo aambatanishe na Ramani I'll aweze kutengeneza BOQ
 
Ukitaka kutafuta gharama halisi au makadirio kwamba ni kiasi gani cha fedha utatumia katika kujenga unaweza usijenge kabisa kama kipato chako ni cha kuungaunga, mambo hayo yanawafaa wenye uhakika wa fedha, au wale wanaochukua mikopo kwa ajili ya ujenzi. Mwanzoni mwa miaka ya 2000 nilipata zari nikapata kiasi cha fedha nikaweza kununua kiwanja maeneo ya Yombo Vituka. baada ya kununua hicho kiwanja sikuwa na pesa nyingi ambayo ingeweza kuanzisha ujenzi. Nikatafakari sana nikaibuka na wazo la kuwa ninaenda site kila Jumamosi hata kama nina fedha ya kununua mfuko mmoja wa simenti na kumlipa fundi wa kufyatua. Nilienda mwendo huo mwaka haukuisha nikawa nimemaliza nyumba. Nilipokuja kujumlisha hesabu sikuamini ni wapi ningeweza kupata kiasi hicho cha pesa kwa mara moja au hata kwa awamu nne!
 
Ukitaka kutafuta gharama halisi au makadirio kwamba ni kiasi gani cha fedha utatumia katika kujenga unaweza usijenge kabisa kama kipato chako ni cha kuungaunga, mambo hayo yanawafaa wenye uhakika wa fedha, au wale wanaochukua mikopo kwa ajili ya ujenzi. Mwanzoni mwa miaka ya 2000 nilipata zari nikapata kiasi cha fedha nikaweza kununua kiwanja maeneo ya Yombo Vituka. baada ya kununua hicho kiwanja sikuwa na pesa nyingi ambayo ingeweza kuanzisha ujenzi. Nikatafakari sana nikaibuka na wazo la kuwa ninaenda site kila Jumamosi hata kama nina fedha ya kununua mfuko mmoja wa simenti na kumlipa fundi wa kufyatua. Nilienda mwendo huo mwaka haukuisha nikawa nimemaliza nyumba. Nilipokuja kujumlisha hesabu sikuamini ni wapi ningeweza kupata kiasi hicho cha pesa kwa mara moja au hata kwa awamu nne!
Aisee wewe umenipa idea kweli...vitu vingine inakubidi ujitoe ufahamu akili itakuja mbele kwa mbele kama ulivyofanya
 
jamani naomba kujuzwa kwa wale wachora ramani na wajenzi.
je inawezekana kuibadirisha ramani kwa nyumba iliyojengwa ikafika nusu halafu ikabadirishwa kwa kutumia msingi uleule??
 
Square m ngapi
Habarini wakuu, naomba kama kuna mwenye uzoefu anipe makadirio ya gharama ya ujenzi wa nyumba ya vyumba vi 3 (chumba kimoja self na viwili vya kawaida), sitting, dinning, jiko, (choo na bafu public). Nataka kutumia matofali ya kuchoma ambapo tofali moja linauzwa sh 120. Msingi utatumia matofali ya block. Heshima kwenu.
 
For real maelezo yko ni finyu kiasi cha mtu kushindwa kukupa exactly cost ya huo mjengo wako labda ungesema mahali ulipo, finishing ya hiyo nyumba na ufafanuz zaidi, lakn kwa ujumla km unataka iwe bora na ya kuvutia km materials yanapatkana kirahc andaa at least 25ml ila ya kawaida tu hata 12ml inatosha (Provided kiwanja unacho maana kinaweza kuwa ghari kushinda gharama za ujenzi!!)

ushawahi kujenga mkuu. mil 12 inatosha? kufanyaje.. kumaliza nyumba au inafikisha lintel tu.
 
Back
Top Bottom