Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 9,140
- 15,963
We kaa sema kila kitu nilisikiaIla sinta aliliwa bwanaa, nasikia mbaka marehemu mzee MACHACHE naye alipita aseee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We kaa sema kila kitu nilisikiaIla sinta aliliwa bwanaa, nasikia mbaka marehemu mzee MACHACHE naye alipita aseee.
All time classics1. AKA Mimi
2. Elimu Dunia
3. Ugali
4. Machozi Jasho na Damu
5. Starehe
Miongoni mwa albamu bora kabisa za kibongo ambazo nilizinunua wakati huo (bei ilikuwa 1 200/- tsh).
Alipokuja Kilimanjaro show. Aliiipgia Aventure Africa. Na mlangoni ulikuwa unapewa ugali wako kabisa uzame nao ndani.
Mapoco poco manjari mixer makachumbari
KabisaMiongoni mwa albamu bora kabisa za kibongo ambazo nilizinunua wakati huo (bei ilikuwa 1 200/- tsh).
Alipokuja Kilimanjaro show. Aliiipgia Aventure Africa. Na mlangoni ulikuwa unapewa ugali wako kabisa uzame nao ndani.
Ugali na mboga gani ManMiongoni mwa albamu bora kabisa za kibongo ambazo nilizinunua wakati huo (bei ilikuwa 1 200/- tsh).
Alipokuja Kilimanjaro show. Aliiipgia Aventure Africa. Na mlangoni ulikuwa unapewa ugali wako kabisa uzame nao ndani.
Ulikuwa unanyonya enzi hizo[emoji2][emoji1787]Historia nzuri, nimesoma mwanzo mwisho, sasa alivyoimba demu wake kapimwa amekutwa na goma, yeye niaje hapo duh[emoji30]
Fela kala sana jasho la wasaniiNature wkt anazibdua album yake ya Ugali mafuriko yake yalikua sio ya nchi hii ila at the end of the day aliishia kununuliwa na Fella gari zile benzi'macho ya panzi' ya kutoka S/Africa kama malipo ya album yake na mchezo ukaishia pale.
Ukumbi wa dhando hivi bado uko[emoji1787][emoji2]pale meta kwa mbele kabla hujafika forestNakumbuka DOLO alitaka pigwa MBEYA kama si TEMBA kutuliza ghasia.
Wahuni wamemvuta NATURE toka ukumbuni ndani ya Dhando Mbeya wanamrusharusha juu Dolo akajidai kuongea mambo mbofumbofu watu wakampiga na makopo ya bia Mh.Temba akawatuliza wana wakatulia na NATURE akawapa Burudani.
NATURE alikuwa ni msanii ambaye alikuwa akifika sehemu anakula na wana vitu kisha anaenda jukwaani.
Enzi zlle wasanii na bangi ilikuwa ni kama chanda na peteKuhusu uzinduzi wa Album nakumuka nilikuwa na miaka 17, nilienda show ilitawaliwa na wasanii wa BONGO RECORDS tupu, wale wa master j wa J RECORDS hakuwepo hata mmoja, JAY MOE NA DULLY SYKES walifunika siku hiyo, nilipoenda chooni kukojoa nilikuta wasanii wote wanavuta bangi kasoro mike tee, zay b na LWP
Mbona ni maharage na mchicha[emoji2]Ugali na mboga gani Man
Haaaaa Haaaaa 😂Enzi zlle wasanii na bangi ilikuwa ni kama chanda na pete
Siku hizi wasanii na kuliwa viboga imekuwa kama bangi enzi zile
Aisee nilikuwa hapo jana walishavunja mda sana,😂😂Ukumbi wa dhando hivi bado uko[emoji1787][emoji2]pale meta kwa mbele kabla hujafika forest
Nitake radhi mkuu, nilikua binti kabisa enzi hizo tena nilikua nishaanza kujua tamu na chungu😂😂Ulikuwa unanyonya enzi hizo[emoji2][emoji1787]