LGE2024 Makalla: CCM hatuhitaji upendeleo wala kubebwa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, TAMISEMI itende haki

LGE2024 Makalla: CCM hatuhitaji upendeleo wala kubebwa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, TAMISEMI itende haki

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Maneno matupu haya. Kule Jimbo la Serengeti wamefuta wagombea wote wa upinzani
 

Amos Makalla, ametoa msisitizo kwa TAMISEMI kutenda haki kwa vyama vyote vilivyosimamisha wagombea katika uchaguzi wa Serikali za mitaa, vijiji na vitongoji.

Amesema katika uchaguzi huo unaotarajiwa kufanyika Novemba 27 mwaka huu, wapo wagombea wa CCM ambao wamewekewa pingamizi, hivyo madai ya vyama vya upinzani kwamba wagombea wao pekee ndiyo waliowekewa pingamizi yana lengo la kuwahadaa watanzania.

Makalla aliyasema hayo wakati akizungumza na viongozi na wanachama wa CCM Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam leo Novemba 8, 2024, ambapo alisisitiza CCM ipo tayari kushiriki uchaguzi huo na kitaibhayauka mshindi kwani kimejiandaa ipasavyo.
Haya majitu yanayuchukuliaje wananchi?
 
Mahakama ya Katiba Mozambique yataka wasimamizi wa uchafuzi wa uchaguzi kujitetea madudu ya wazi yaliyojitokeza katika uchaguzi wa 9 Oktoba 2024 nchini Mozambique

1731088161518.jpeg
 

Amos Makalla, ametoa msisitizo kwa TAMISEMI kutenda haki kwa vyama vyote vilivyosimamisha wagombea katika uchaguzi wa Serikali za mitaa, vijiji na vitongoji.

Amesema katika uchaguzi huo unaotarajiwa kufanyika Novemba 27 mwaka huu, wapo wagombea wa CCM ambao wamewekewa pingamizi, hivyo madai ya vyama vya upinzani kwamba wagombea wao pekee ndiyo waliowekewa pingamizi yana lengo la kuwahadaa watanzania.

Makalla aliyasema hayo wakati akizungumza na viongozi na wanachama wa CCM Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam leo Novemba 8, 2024, ambapo alisisitiza CCM ipo tayari kushiriki uchaguzi huo na kitaibuka mshindi kwani kimejiandaa ipasavyo.
Mbona 2019 na 2020 waliengua wagombeaji wote wakabakiza wa CCM tu?

Ni dhahiri chama chetu hakikubariki tena na kinatumia maguvu na jinai kubaki madarakani na hiki ndio chanzo cha umaskini wetu. Kiongozi alieyeingia madarakani bila kuetegemea kura za wananchi hawezi kuwa na tija

Wenzetu Kenya walishatoka huko kwenye wizi wa kura ndio maana nchi ipo juu.
 
Waangalizi nao kama Mahakama ya Katiba yaona madudu mengi ya uchaguzi wa chama rafiki cha CCM

Uchafuzi wa Uchaguzi nchini Msumbiji 2024 :

View: https://m.youtube.com/watch?v=9GouOQKDmHQ

Waangalizi wanataja kasoro ikiwemo utekaji wa mchakato mzima wa uchaguzi uliofanywa na FRELIMO
Waangalizi wa uchaguzi kutoka Taasisi ya Kimataifa ya Republican (IRI) na Umoja wa Ulaya EU, nchini Msumbiji, wanataja kasoro katika mchakato wa upigaji kura, kuhesabu na kuchapisha matokeo ya uchaguzi mkuu wa tarehe 9 Oktoba 2024 ...
 
Tundu Lissu - Huwezi Kuwekewa Pingamizi na Mtu Asiye Mgombea,

Tundu Lissu achambua Maana ya zoezi hili la uteuzi 07 November 2024 lililofanywa na TAMISEMI


View: https://m.youtube.com/watch?v=nECJK6jR04Q

Majina yote yanatakiwa kwanza yawekwe katika ubao wa matangazo ili wagombea wawekewe pingamizi ikiwa lipo, na pia mkurugenzi au TAMISEMI haina mamlaka kisheria kuengua, kuweka pingamizi kwa wagombea asisitiza Tundu Lissu...

Sasa hawa wagombea wetu wamewekewa pingamizi na nani kwa siri kuu? ...
 
Mbinu za CCM ni za kijinga sn
Hakuna mahali CCM inatumia mbingu za kijinga isipokuwa imejaa kiburi na madharau kwa watanzania ndiyo wanaweza kufanya vitu vya kuudhi kama hivi bila kujali chochote. Haya mambo hayakuanza leo.
 
Amos Makala na chama dola kongwe acheni kuchezea amani ya taifa letu.

7 November 2024
Lisbon, Portugal

HALMASHAURI KUU YA CHAMA (NEC) DOLA KONGWE FRELIMO YAONGEA NA WAANDISHI WA HABARI

Msumbiji: Frelimo inaunganisha maandamano ya baada ya uchaguzi na jaribio la mapinduzi na maslahi ya nje - Tazama​

6:17 | 07 Nov 2024

Frelimosp.yt_

Picha : TVM . Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya chama (NEC ) dola kongwe FRELIMO katibu wa Siasa na Uenezi Bi. Alcinda Abreu

Chama cha Frelimo kinasema kuwa kuna vuguvugu la kuviondoa madarakani vyama vilivyokomboa baadhi ya nchi katika bara la Afrika kupitia mapinduzi ya kijeshi na kwamba huenda ikawa hivyo nchini Msumbiji.

Akizungumza wakati wa mkutano na waandishi wa habari, chama tawala kongwe FRELIMO kilifahamisha kuwa kinaamini kuwa nchi hiyo ina maliasili ambazo baadhi ya nchi zinatamani
Ilikuwa ni kuwaomba raia wa Msumbiji kuheshimu Katiba ya Jamhuri na kutoa wito kwa wakazi kuwa na utulivu kupitia taarifa kwa umma toka Kamati ya Kisiasa ya Frelimo iliitisha mkutano na waandishi wa habari Jumatano jioni, katika jiji la Maputo.


Bi. Alcinda de Abreu, anayewakilisha Halmashauri Kuu ya chama hicho FRELIMO , aliwasilisha msimamo wa Frelimo kuhusu maandamano na uharibifu katika kupinga uchaguzi mkuu wa tarehe 9 Oktoba 2024.


"Msumbiji, nchi yetu nzuri na tunayopenda, inadhulumiwa kwa njia isiyo ya kawaida, inayoonyeshwa na maandamano ya vurugu ambayo yanaleta maombolezo, maumivu, uharibifu, na kuongezeka kwa njaa na umaskini ndani ya familia kubwa ya Msumbiji," alisema Alcinda de Abreu, anaripoti mwandishi wa shirika la habari la ABNA.

Halmashauri Kuu ya Taifa ya Kisiasa ya chama kongwe dola Frelimo,
"Imechukua miaka ya kazi ngumu kufikia hapa tulipo leo. Tunaelewa kuwa tumepitia nyakati ngumu za mizozo ya kiuchumi na kifedha, iliyosababishwa na sababu za ndani na nje, pamoja na ugaidi huko Cabo Delgado, lakini, kama raia wa Msumbiji, lazima tufanye kazi kwa maendeleo ya nchi, "alisema Bi. Alconda Abreu MNEC mjumbe wa NEC FRELIMO .

Msemaji wa kikao cha 36 cha kawaida cha halmashauri kuu ya chama cha Frelimo alisisitiza wazo la Waziri wa Ulinzi kwamba kuna watu wanaotaka kufanya mapinduzi.


"Frelimo, kama chama kilichoikomboa Msumbiji kutoka kwa ukoloni mkongwe wa Mreno , ni sehemu ya vuguvugu la ukombozi wa taifa, na leo kuna harakati za kuondoa vyama vilivyokomboa baadhi ya nchi za Kusini mwa Afrika ."


MNEC Alcinda de Abreu pia alisema kuwa nchi hiyo ina utajiri mkubwa wa maliasili ambazo baadhi ya nchi zinatamani na, kwa hivyo, huajiri watu "waliokengeushwa" ili kuchochea ukosefu wa utulivu nchini.
Na bado
 

Amos Makalla, ametoa msisitizo kwa TAMISEMI kutenda haki kwa vyama vyote vilivyosimamisha wagombea katika uchaguzi wa Serikali za mitaa, vijiji na vitongoji.

Amesema katika uchaguzi huo unaotarajiwa kufanyika Novemba 27 mwaka huu, wapo wagombea wa CCM ambao wamewekewa pingamizi, hivyo madai ya vyama vya upinzani kwamba wagombea wao pekee ndiyo waliowekewa pingamizi yana lengo la kuwahadaa watanzania.

Makalla aliyasema hayo wakati akizungumza na viongozi na wanachama wa CCM Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam leo Novemba 8, 2024, ambapo alisisitiza CCM ipo tayari kushiriki uchaguzi huo na kitaibuka mshindi kwani kimejiandaa ipasavyo.
Kuwaengua maelfu ya wagombea wa Chadema ni ishara kuwa mnawaogopa, mumepima mumeona wao wanakubalika kwa wapiga kura ndiyo maana mnawaogopa vinginevyo waachiwe wapiga kura kwani ni watu wazima na wana akili timamu wanajua ni watu gani wanawafaa.Hii dhambi anayotenda Mchengerwa ambaye ni Mkwe wa Rais Samia itawatafuna wote.
 
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa (NEC) Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla, ametoa msisitizo kwa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kutenda haki kwa vyama vyote vilivyosimamisha wagombea katika uchaguzi wa Serikali za mitaa, vijiji na vitongoji.

Amesema katika uchaguzi huo unaotarajiwa kufanyika Novemba 27 mwaka huu, wapo wagombea wa CCM ambao wamewekewa pingamizi, hivyo madai ya vyama vya upinzani kwamba wagombea wao pekee ndiyo waliowekewa pingamizi yana lengo la kuwahadaa watanzania.

CPA Makalla aliyasema hayo wakati akizungumza na viongozi na wanachama wa CCM Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam leo Novemba 8, 2024, ambapo alisisitiza CCM ipo tayari kushiriki uchaguzi huo na kitaibuka mshindi kwani kimejiandaa ipasavyo.

View attachment 3147119
Kimejiandaa ipasavyo kuiba maana makada wake walishasema Mungu atawasamehe baadaye
 
My Take

Naunga mkono msimamo huu thabiti wa Katibu Mwenezi wa CCM Taifa comrede Amos Makala.

Nimeona maeneo Fulani eti Watendaji wamewaengua wagombea wa Chadema Kwa visingizio vya kipuuzi na Baadhi ya maeneo Wananchi wakawapa kichapo.

Tamisemi acheni ujinga,Kila kitu kilichofanywa na CCM kinaonekana Kwa Wananchi so hakuna haja ya mbeleko ndio maana Baadhi ya maeneo Wananchi waliandana baada ya Wagombea wao kutoka CCM kukatwa.

CCM haihitaji mbeleko kushindana na Vyama ambavyo havina uwezo wa kusimamishw wagombea Mitaa ,Vitongoji na Vijijini vyote achilia mbali mawakala.

Hongera Makala

======

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, CPA Amos Makalla, amesisitiza kwa Ofisi ya Rais, TAMISEMI kutenda haki kwa vyama vyote katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji, na Vitongoji unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024. Alisema kuwa vyama vya upinzani vimekuwa wakidai kuwa wagombea wao pekee wamewekewa pingamizi, jambo ambalo linakosa ukweli.

Akizungumza na viongozi na wanachama wa CCM Wilaya ya Temeke, Dar es Salaam, CPA Makalla alieleza kuwa CCM pia ina wagombea waliowekewa pingamizi, na kwamba madai hayo ya upinzani ni ya kujaribu kuwahadaa wananchi. Alisisitiza kuwa chama kimejiandaa kushiriki uchaguzi huo na kitatoka kidedea kwa ushindi wa haki.

Makalla alitoa wito kwa TAMISEMI kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na haki, bila upendeleo kwa chama chochote. Alisema CCM inahitaji usawa na haki katika uchaguzi, na kwamba wataendelea kushindana kwa njia ya haki, huku wakiamini kuwa ushindi utapatikana kwa haki na utangazwe ipasavyo.

View: https://x.com/kwamekivaisi/status/1855116413934956684?t=pKN5OGMKN5CtpRoiquVP-g&s=19

@amosmakalla
 
Bora CPA Makalla kuweka msisitizo huo, kuwe na fair grounds kwa vyama vyote nchi hii ni yetu sote. Tamisemi wasijisahau wakaona wanamfurahisha rais, kumbe wanatengeneza machafuko ndani ya nchi.
 
Back
Top Bottom