ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo hii ndio point? 👇👇Pointless
My Take
Naunga mkono msimamo huu thabiti wa Katibu Mwenezi wa CCM Taifa comrede Amos Makala.
Nimeona maeneo Fulani eti Watendaji wamewaengua wagombea wa Chadema Kwa visingizio vya kipuuzi na Baadhi ya maeneo Wananchi wakawapa kichapo.
Tamisemi acheni ujinga,Kila kitu kilichofanywa na CCM kinaonekana Kwa Wananchi so hakuna haja ya mbeleko ndio maana Baadhi ya maeneo Wananchi waliandana baada ya Wagombea wao kutoka CCM kukatwa.
CCM haihitaji mbeleko kushindana na Vyama ambavyo havina uwezo wa kusimamishw wagombea Mitaa ,Vitongoji na Vijijini vyote achilia mbali mawakala.
Hongera Makala
======
View attachment 3147617
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, CPA Amos Makalla, amesisitiza kwa Ofisi ya Rais, TAMISEMI kutenda haki kwa vyama vyote katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji, na Vitongoji unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024. Alisema kuwa vyama vya upinzani vimekuwa wakidai kuwa wagombea wao pekee wamewekewa pingamizi, jambo ambalo linakosa ukweli.
Akizungumza na viongozi na wanachama wa CCM Wilaya ya Temeke, Dar es Salaam, CPA Makalla alieleza kuwa CCM pia ina wagombea waliowekewa pingamizi, na kwamba madai hayo ya upinzani ni ya kujaribu kuwahadaa wananchi. Alisisitiza kuwa chama kimejiandaa kushiriki uchaguzi huo na kitatoka kidedea kwa ushindi wa haki.
Makalla alitoa wito kwa TAMISEMI kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na haki, bila upendeleo kwa chama chochote. Alisema CCM inahitaji usawa na haki katika uchaguzi, na kwamba wataendelea kushindana kwa njia ya haki, huku wakiamini kuwa ushindi utapatikana kwa haki na utangazwe ipasavyo.
View: https://x.com/kwamekivaisi/status/1855116413934956684?t=pKN5OGMKN5CtpRoiquVP-g&s=19
@amosmakalla
Napenda sana uongozi wa Makalla
Amos Makalla, ametoa msisitizo kwa TAMISEMI kutenda haki kwa vyama vyote vilivyosimamisha wagombea katika uchaguzi wa Serikali za mitaa, vijiji na vitongoji.
Amesema katika uchaguzi huo unaotarajiwa kufanyika Novemba 27 mwaka huu, wapo wagombea wa CCM ambao wamewekewa pingamizi, hivyo madai ya vyama vya upinzani kwamba wagombea wao pekee ndiyo waliowekewa pingamizi yana lengo la kuwahadaa watanzania.
Makalla aliyasema hayo wakati akizungumza na viongozi na wanachama wa CCM Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam leo Novemba 8, 2024, ambapo alisisitiza CCM ipo tayari kushiriki uchaguzi huo na kitaibuka mshindi kwani kimejiandaa ipasavyo.
My Take
Naunga mkono msimamo huu thabiti wa Katibu Mwenezi wa CCM Taifa comrede Amos Makala.
Nimeona maeneo Fulani eti Watendaji wamewaengua wagombea wa Chadema Kwa visingizio vya kipuuzi na Baadhi ya maeneo Wananchi wakawapa kichapo.
Tamisemi acheni ujinga,Kila kitu kilichofanywa na CCM kinaonekana Kwa Wananchi so hakuna haja ya mbeleko ndio maana Baadhi ya maeneo Wananchi waliandana baada ya Wagombea wao kutoka CCM kukatwa.
CCM haihitaji mbeleko kushindana na Vyama ambavyo havina uwezo wa kusimamishw wagombea Mitaa ,Vitongoji na Vijijini vyote achilia mbali mawakala.
Hongera Makala
======
View attachment 3147617
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, CPA Amos Makalla, amesisitiza kwa Ofisi ya Rais, TAMISEMI kutenda haki kwa vyama vyote katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji, na Vitongoji unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024. Alisema kuwa vyama vya upinzani vimekuwa wakidai kuwa wagombea wao pekee wamewekewa pingamizi, jambo ambalo linakosa ukweli.
Akizungumza na viongozi na wanachama wa CCM Wilaya ya Temeke, Dar es Salaam, CPA Makalla alieleza kuwa CCM pia ina wagombea waliowekewa pingamizi, na kwamba madai hayo ya upinzani ni ya kujaribu kuwahadaa wananchi. Alisisitiza kuwa chama kimejiandaa kushiriki uchaguzi huo na kitatoka kidedea kwa ushindi wa haki.
Makalla alitoa wito kwa TAMISEMI kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na haki, bila upendeleo kwa chama chochote. Alisema CCM inahitaji usawa na haki katika uchaguzi, na kwamba wataendelea kushindana kwa njia ya haki, huku wakiamini kuwa ushindi utapatikana kwa haki na utangazwe ipasavyo.
View: https://x.com/kwamekivaisi/status/1855116413934956684?t=pKN5OGMKN5CtpRoiquVP-g&s=19
@amosmaka
"Frelimo, kama chama kilichoikomboa Msumbiji kutoka kwa ukoloni mkongwe wa Mreno , ni sehemu ya vuguvugu la ukombozi wa taifa, na leo kuna harakati za kuondoa vyama vilivyokomboa baadhi ya nchi za Kusini mwa Afrika ." Katibu uenezi, mafunzo na propaganda bi. Alcinda Abreu