Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla amesema Chama cha Mapinduzi (CCM) kinaheshimu mhimili wa Mahakama na katika usikilizaji kero za wananchi, viongozi wa chama hicho hawatajihusisha na kesi zilizopo mahakamani.
Makalla ameyasema hayo leo Jumanne Mei 7, 2024 akifanya mahojiano maalumu na waandishi na wahariri wa kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) alipotembelea ofisi za kampuni hiyo, Tabata Relini jijini Dar es Salaam.
"Naulizwa mtangulizi wako hakuamini Mahakama na wewe unasema mnaiamini, je, tuchukue lipi? Chukueni kauli ya kwangu kwamba Chama cha Mapinduzi na Serikali yake inaheshimu Mahakama kama chombo cha kikatiba cha kutoa haki. Niwashauri wananchi kama jambo lipo mahakamani ukishindwa kata rufaa katika ngazi inayofuata," amesema.
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla amesema Chama cha Mapinduzi (CCM) kinaheshimu mhimili wa Mahakama na katika usikilizaji kero za wananchi, viongozi wa chama hicho hawatajihusisha na kesi zilizopo mahakamani.
Makalla ameyasema hayo leo Jumanne Mei 7, 2024 akifanya mahojiano maalumu na waandishi na wahariri wa kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) alipotembelea ofisi za kampuni hiyo, Tabata Relini jijini Dar es Salaam.
"Naulizwa mtangulizi wako hakuamini Mahakama na wewe unasema mnaiamini, je, tuchukue lipi? Chukueni kauli ya kwangu kwamba Chama cha Mapinduzi na Serikali yake inaheshimu Mahakama kama chombo cha kikatiba cha kutoa haki. Niwashauri wananchi kama jambo lipo mahakamani ukishindwa kata rufaa katika ngazi inayofuata," amesema.
Anaongea hayo ingali leo wamezindua namba maalum ya kuoiga simu kuhusu ile waliyoita Samia helpline ya kusikiliza kero za wananchi na kutoa legal aid? Hii maana yake nini? Stupid.
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla amesema Chama cha Mapinduzi (CCM) kinaheshimu mhimili wa Mahakama na katika usikilizaji kero za wananchi, viongozi wa chama hicho hawatajihusisha na kesi zilizopo mahakamani.
Makalla ameyasema hayo leo Jumanne Mei 7, 2024 akifanya mahojiano maalumu na waandishi na wahariri wa kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) alipotembelea ofisi za kampuni hiyo, Tabata Relini jijini Dar es Salaam.
"Naulizwa mtangulizi wako hakuamini Mahakama na wewe unasema mnaiamini, je, tuchukue lipi? Chukueni kauli ya kwangu kwamba Chama cha Mapinduzi na Serikali yake inaheshimu Mahakama kama chombo cha kikatiba cha kutoa haki. Niwashauri wananchi kama jambo lipo mahakamani ukishindwa kata rufaa katika ngazi inayofuata," amesema.
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla amesema Chama cha Mapinduzi (CCM) kinaheshimu mhimili wa Mahakama na katika usikilizaji kero za wananchi, viongozi wa chama hicho hawatajihusisha na kesi zilizopo mahakamani.
Makalla ameyasema hayo leo Jumanne Mei 7, 2024 akifanya mahojiano maalumu na waandishi na wahariri wa kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) alipotembelea ofisi za kampuni hiyo, Tabata Relini jijini Dar es Salaam.
"Naulizwa mtangulizi wako hakuamini Mahakama na wewe unasema mnaiamini, je, tuchukue lipi? Chukueni kauli ya kwangu kwamba Chama cha Mapinduzi na Serikali yake inaheshimu Mahakama kama chombo cha kikatiba cha kutoa haki. Niwashauri wananchi kama jambo lipo mahakamani ukishindwa kata rufaa katika ngazi inayofuata," amesema.
Anaongea hayo ingali leo wamezindua namba maalum ya kuoiga simu kuhusu ile waliyoita Samia helpline ya kusikiliza kero za wananchi na kutoa legal aid? Hii maana yake nini? Stupid.
Kero za wananchi ziko kwenye mihimili yote ikiwemo mahakama .Kazi ya chama tawala ni kudikiliza kero za wananchi na kuzitafitia ufumbuzi ikiwemo kutoa msaada wa kisheria au kuzipeleka Kwa uongozi wa mahakama
Uongozi wa mahakama utajuaje kama Kuna kero Kwa wananchi
Kero za wananchi ziko kwenye mihimili yote ikiwemo mahakama .Kazi ya chama tawala ni kudikiliza kero za wananchi na kuzitafitia ufumbuzi ikiwemo kutoa msaada wa kisheria au kuzipeleka Kwa uongozi wa mahakama
Uongozi wa mahakama utajuaje kama Kuna kero Kwa wananchi
Taratibu Gani watu wanalia
wapi unataka watu walalamike wapi?
Kwa taarifa Yako mahakimu kibao wameshawajibishwa na mahakama baada ya wananchi kulalamika Kwa Makonda na ikathibitika kweli
Mihimili wa mahakama pia Kuna watu wanachemka huko .Na wananchi mashahidi .Hakuna Cha kujiificha nyuma ya chaka au joho la kijaji kuwa kesi hii Iko mahakamani wakati Kuna uhuni
Wacha wananchi watapike nyongo zao itasaidia mahakama kunyooka wakijua wakicheza wataumbuliwa mchana kweupe na wananchi Bila woga Wala Nini
Ni wake up call Kwa mihimili wa mahakama
Makonda endelea kusikiliza kero za wananchi zikiwemo kero za mhimili wa mahakama
Nakubaliana na Makalla kwenye hili. Jambo kama lipo mahakamani, sawa-tena ni dharau kwa mahamaka, kulijadili na kulitolea maamuzi ya kisiasa. Hata utekelezaji wa hukumu za mahakama huratibiwa na mahakama kwa mujibu wa sheria na taratibu husika.
Kujadili na kutoa maamuzi ya kisiasa juu ya masuala yaliyopo mahakamani kunaweza: mosi, kufitinisha mahakama na wananchi. Pili, kuwapa viongozi wa kisiasa kazi ambazo hawana kikatiba na kisheria. Tatu, kuonesha na kuleta nadharia kuwa mambo yanayoanzia mahakamani humalizika kisiasa.
Awe Makonda au yeyote yule, iwe marufuku kuchanganya siasa na mambo yaliyopo mahakamani.
"Kwanini wanaenda court ya kimataifa na sio hapa nchini? hiyo ni sheria ambayo hauwezi kupata muwekezaji. Hamna muwekezaji atakuja hapa kuwekeza pesa zake halafu kesho unamwambia aende kisutu, Kisutu ambapo mtu yeyote wa Serikali anaweza kumpigia simu jaji akamwambia huyo usimpe hukumu hiyo...
Nakubaliana na Makalla kwenye hili. Jambo kama lipo mahakamani, sawa-tena ni dharau kwa mahamaka, kulijadili na kulitolea maamuzi ya kisiasa. Hata utekelezaji wa hukumu za mahakama huratibiwa na mahakama kwa mujibu wa sheria na taratibu husika.
Kujadili na kutoa maamuzi ya kisiasa juu ya masuala yaliyopo mahakamani kunaweza: mosi, kufitinisha mahakama na wananchi. Pili, kuwapa viongozi wa kisiasa kazi ambazo hawana kikatiba na kisheria. Tatu, kuonesha na kuleta nadharia kuwa mambo yanayoanzia mahakamani humalizika kisiasa.
Awe Makonda au yeyote yule, iwe marufuku kuchanganya siasa na mambo yaliyopo mahakamani.
Fani mbili zinazoongoza kulalamikiwa na wananchi kitaifa Kwa uovu ziko mbili Idara ya Ardhi na mahakama
Hao ndio vinara wanaongoza kulalamikiwa na wananchi
Kesi kuwa mahakamani sio Kichaka Cha kukitumia Kwa maovu.Mtu kesi imeisha kutoa tu hati ya judgement inachukua mwaka mzima mtu anafuatilia hapati wanataka rushwa unatakaje mtu akae kimya asiongee kuwa huko kumeoza kesi Ina mwaka Toka iamuliwe nakala ya hukumu haitoki