Wana sias wote wa Puuzi . Hata Tundu ni mpuuzi.Huyo m
Huyo mPuuzi Amos Makala kila akifungua bakuli lake anaongea uharo mtupu.
CCM wamemchaguwa Wasira
Chadema wanapiga kelele mzee, hawezi kitu sijui anasinzia.
CCM wameridhika na hayo.
Kila mtu aongee lake na utowe mbinu zako usitseme za wenzako.
Kwani kila ukisema la mwenzio ndio unamfanyia kampeni likiwa zuri au baya.
Sawa na ynaga na simba.
Simba wapo Uturuki. Msemaji wa yanga naweweseka huku.
Simba akicheza mechi zake Msemaji wa yanga anaweweseka.
Husika na lako tuu