Pre GE2025 Makalla: Tundu Lissu ameingia kuiua CHADEMA, Chama kinaenda kuvunjika

Pre GE2025 Makalla: Tundu Lissu ameingia kuiua CHADEMA, Chama kinaenda kuvunjika

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyo m

Huyo mPuuzi Amos Makala kila akifungua bakuli lake anaongea uharo mtupu.
Wana sias wote wa Puuzi . Hata Tundu ni mpuuzi.
CCM wamemchaguwa Wasira
Chadema wanapiga kelele mzee, hawezi kitu sijui anasinzia.
CCM wameridhika na hayo.
Kila mtu aongee lake na utowe mbinu zako usitseme za wenzako.
Kwani kila ukisema la mwenzio ndio unamfanyia kampeni likiwa zuri au baya.

Sawa na ynaga na simba.
Simba wapo Uturuki. Msemaji wa yanga naweweseka huku.
Simba akicheza mechi zake Msemaji wa yanga anaweweseka.
Husika na lako tuu
 
Tunazidi kuwapaisha Chadema.Kwa Nini sisi CCM tusiachane nao.Tuongelee mambo mengine.
 
Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) anayehusika na Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla, ameyasema hayo leo katika Mkutano wa viongozi wa chama na jumuiya ngazi ya shina, Tawi, Kata na Wilaya, Ambapo amewataka watanzania kupuuza madai ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwamba uchaguzi hautafanyika bila mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi.

Kisu kipo kwenye mfupa dawa imewaingia TAL ongeza dawa
 
Wamekwama kujibu hoja wanaleta viroja. Makalla akili zake zimeshikwa na Ally Choki.
Body language inaonyesha wazi kuwa kakurupushwa, "nenda kawajibu Chadema". Hakujiandaa kwa majibu yale.

Kaja na mawazo ya P Mayalla na Balile aibu tupu. Wao ndio wameshindwa Uchaguzi ndiyo maana wakaubinafsisha kwa vyombo vya Dola na Tume Mchongo ya Uchafuzi.
 
Kumbe CHADEMA bado ipo hai ...tulijua imeshajifia😃
 
akiue/asikiue yeye anawashwa na nini? kama CCM imeshindwa kuiua CHADEMA no-one can
Kuna wagombea wa udiwani na ubunge wa Chadema wamejipanga kugombea na wana watu wa kuwapigia kura
Lisu anataka kuwazuia kwa kuwa yeye pesa za kugombea uraisi hana anatumia hiyo sera ya tukose wote

Hawatendei haki hao waliojipanga kugombea.Yeye na genge lake kama hawajajipanga shauri yao
 
Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) anayehusika na Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla, ameyasema hayo leo katika Mkutano wa viongozi wa chama na jumuiya ngazi ya shina, Tawi, Kata na Wilaya, Ambapo amewataka watanzania kupuuza madai ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwamba uchaguzi hautafanyika bila mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi.



Sijui kwa nini CCM inapenda kuwapa madaraka watu wasio ama na akili timamu au wenye akili kubwa.

Hivi CCM.ilikosa kabisa watu qente akili timamu, mpaka kufikia kumpa nafasi ya uenezi, Makala?
 
Mh Rais Samia epuka wapambe kama huyu Makala, wewe ni Rais wa wote, rudisha moyo, ita wapinzani wako mezani, mkubaliane kufanyika kwa mabadiliko madogo ya Katiba kwa ajili ya kuwezesha uchaguzi huru na wa haki 2025
Wapambe kama huyu Makala ndio walimdanganya Late Nyerere na Mkapa

Mama Tanzania ni MKUBWA kuliko CCM, CDM na ACT
 
Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) anayehusika na Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla, ameyasema hayo leo katika Mkutano wa viongozi wa chama na jumuiya ngazi ya shina, Tawi, Kata na Wilaya, Ambapo amewataka watanzania kupuuza madai ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwamba uchaguzi hautafanyika bila mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi.

Sasa makala, inamuusu nini , acha kife ili ccm ishinde kirahisi , sasa analialia nini na chadema
 
Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) anayehusika na Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla, ameyasema hayo leo katika Mkutano wa viongozi wa chama na jumuiya ngazi ya shina, Tawi, Kata na Wilaya, Ambapo amewataka watanzania kupuuza madai ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwamba uchaguzi hautafanyika bila mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi.

Ghafla amekuwa Hiza Tambwe
 
Back
Top Bottom