Wana sias wote wa Puuzi . Hata Tundu ni mpuuzi.Huyo m
Huyo mPuuzi Amos Makala kila akifungua bakuli lake anaongea uharo mtupu.
KWELI CCM NI MAZWAZWA ETI YANAPIGA MAKOFI YANASHANGILIA UTUMBOakiue/asikiue yeye anawashwa na nini? kama CCM imeshindwa kuiua CHADEMA no-one can
Kisu kipo kwenye mfupa dawa imewaingia TAL ongeza dawaKatibu wa Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) anayehusika na Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla, ameyasema hayo leo katika Mkutano wa viongozi wa chama na jumuiya ngazi ya shina, Tawi, Kata na Wilaya, Ambapo amewataka watanzania kupuuza madai ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwamba uchaguzi hautafanyika bila mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi.
Body language inaonyesha wazi kuwa kakurupushwa, "nenda kawajibu Chadema". Hakujiandaa kwa majibu yale.Wamekwama kujibu hoja wanaleta viroja. Makalla akili zake zimeshikwa na Ally Choki.
Kuna wagombea wa udiwani na ubunge wa Chadema wamejipanga kugombea na wana watu wa kuwapigia kuraakiue/asikiue yeye anawashwa na nini? kama CCM imeshindwa kuiua CHADEMA no-one can
Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) anayehusika na Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla, ameyasema hayo leo katika Mkutano wa viongozi wa chama na jumuiya ngazi ya shina, Tawi, Kata na Wilaya, Ambapo amewataka watanzania kupuuza madai ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwamba uchaguzi hautafanyika bila mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi.
Sasa makala, inamuusu nini , acha kife ili ccm ishinde kirahisi , sasa analialia nini na chademaKatibu wa Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) anayehusika na Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla, ameyasema hayo leo katika Mkutano wa viongozi wa chama na jumuiya ngazi ya shina, Tawi, Kata na Wilaya, Ambapo amewataka watanzania kupuuza madai ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwamba uchaguzi hautafanyika bila mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi.
Ghafla amekuwa Hiza TambweKatibu wa Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) anayehusika na Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla, ameyasema hayo leo katika Mkutano wa viongozi wa chama na jumuiya ngazi ya shina, Tawi, Kata na Wilaya, Ambapo amewataka watanzania kupuuza madai ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwamba uchaguzi hautafanyika bila mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi.