Pre GE2025 Makalla: Tundu Lissu amesema Rais Samia amegawa Pikipiki nchi nzima, Lissu ajue Samia ni Mwenyekiti wa CCM na huo ndio Uimara wa Chama!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Halafu Makalla aambiwe, yawezekana hajui kwamba, kuwa mwenezi haimaanishi azunguruke nchi nzima kama pia anaweza kutumia media kimkakati na akafanikiwa pakubwa.
Mwenzio anawaza perdiem hawez fanya hivyo kama ulivyoshauri
 
Reactions: G4N
Kuna nchi baadhi ya sample kama hz za akina Makalla zisingekuwepo,kama kuna nchi ambayo wananchi wake wameugua magonjwa na wanawatesa ndani kwa ndani ni Tanzania ila kuna siku inakuja hakuna jiwe litakalosalia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…