4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Bora kuliko bashite na MakalaHuyu wala hapendezei cheo hiki.
Atawanyima kura nyingi sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora kuliko bashite na MakalaHuyu wala hapendezei cheo hiki.
Atawanyima kura nyingi sana.
Umechanganyikiwa.!?Makala
Huna akili we chahwaUmechanganyikiwa.!?
Chawa wote mmelaniwa na hamtauona ufalme wa Bingu asema BWANA ,jisalimishe na mtubuUmechanganyikiwa.!?
Nakusikia ukisema "uzalendo ni kuiba mali za wananchi".Kuomba michango ya gari ni kosa la kiufundi na limerudisha nyuma dhana ya uzalendo,uzalendo ni kutoa sio kukusanya angejifunza Kwa mwenyekiti wa CCM!
Mwenzio anawaza perdiem hawez fanya hivyo kama ulivyoshauriHalafu Makalla aambiwe, yawezekana hajui kwamba, kuwa mwenezi haimaanishi azunguruke nchi nzima kama pia anaweza kutumia media kimkakati na akafanikiwa pakubwa.
Kuna nchi baadhi ya sample kama hz za akina Makalla zisingekuwepo,kama kuna nchi ambayo wananchi wake wameugua magonjwa na wanawatesa ndani kwa ndani ni Tanzania ila kuna siku inakuja hakuna jiwe litakalosalia.Mwenezi wa CCM Dr Makalla amesema Tundu Lisu anapohutubia Kwamba Rais Samia amegawa pikipiki nchi nzima anaisaidia CCM kueleweka kwa wananchi Uimara wake
Rais Samia ni Mwenyekiti wa CCM, amesisitiza Makalla
Makalla amesema katika mikutano ya Katibu mkuu Dr Nchimbi wataendelea kupokea maelfu ya Wanachama Kutoka Chadema
View attachment 3012722
Nawatakieni Dominica Njema 😀