Makalla: Wapo wanasiasa walikuja wakasema maneno ya uchochezi kwamba Serikali ya CCM inanyanyasa wavuvi

Makalla: Wapo wanasiasa walikuja wakasema maneno ya uchochezi kwamba Serikali ya CCM inanyanyasa wavuvi

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema chanzo cha Ziwa Tanganyika kufungwa kwa muda ni kuongeza mazalia ya samaki na si kuwanyanyasa wananchi kama baadhi ya wanasiasa wanavyodai.

Makala amesema hayo jana Jumapili Agosti 4, 2024 katika ziara ya Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Emmanuel Nchimbi mkoani Kigoma.
Soma pia: Amos Makalla: Leteni kero za kweli sio fitina

 
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema chanzo cha Ziwa Tanganyika kufungwa kwa muda ni kuongeza mazalia ya samaki na si kuwanyanyasa wananchi kama baadhi ya wanasiasa wanavyodai.

Makala amesema hayo jana Jumapili Agosti 4, 2024 katika ziara ya Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Emmanuel Nchimbi mkoani Kigoma.
Soma pia: Amos Makalla: Leteni kero za kweli sio fitina
Bumunda lingine hili takataka kabisa hii
 

Attachments

  • Screenshot_20240404-141029~2.jpg
    Screenshot_20240404-141029~2.jpg
    122 KB · Views: 3
Back
Top Bottom