Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Siyo kweli amepewa pikipiki mpya ya chama anajifunza kuendesha hii wiki ya 2 sasa.Nimeambiwa Lucas Mwashambwa meneja wa kampeni kalewa mbege na Kulala Chini ya mgomba 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo kweli amepewa pikipiki mpya ya chama anajifunza kuendesha hii wiki ya 2 sasa.Nimeambiwa Lucas Mwashambwa meneja wa kampeni kalewa mbege na Kulala Chini ya mgomba 😂
Kuna namna jamaa anazipiga kweliHii unaweza kuichukulia poa ila ndio ukweli.
Nimerushiwa picha yakeSiyo kweli amepewa pikipiki mpya ya chama anajifunza kuendesha hii wiki ya 2 sasa.
Tukinywa maji serikali itapataje mapato? TBL nimlipa kodi mkubwa TanzaniaNimerushiwa picha yake
Na nyie hapo Rombo Prof Janabi kasema muwe mnakunywa Maji mengi badala ya mbege tupu 😂😂😂😂
TBL wanatengeneza mbege? 🐼😂Tukinywa maji serikali itapataje mapato? TBL nimlipa kodi mkubwa Tanzania
Mbege iliyoandaliwa kwa usalama ni kilaji salama na ni boraSawa ila umeshiba mbege.
Na walaani kimya kimya walioua Chibuku!!TBL wanatengeneza mbege? 🐼😂
Chibuku ya Unga 😄😄😄Mbege iliyoandaliwa kwa usalama ni kilaji salama na ni bora
Na walaani kimya kimya walioua Chibuku!!
Mbowe ni mstaarabu na muungwana, ila ni mlaini mno hawezi kuisukuma CCM pembeni. Lissu ni mgumu anaweza kuipelekea CCM moto na ikaungua na kuipiga chini, tatizo lake ni kichaa, mdomo wake hauna breki!. Japo Lowassa Alikuwa a Liability CCM, Akawa Asset Chadema. Lissu is a Very Bad Liability, but is The Only Asset Chadema Has Kuwangiza Ikulu!. Je... ?Nini maoni yako kati ya Mbowe na Lisu? weka uchawa pembeni
Acha usingiziaji.Subiri hapo uletewe mtori wa magimbi ule.Ndiyo, mjomba anatuleteaga.
Yuko hapa anabubujikwa na machozi ya furaha baada ya kushuhudia ukarimu wa mjomba wangu.Nimeambiwa Lucas Mwashambwa meneja wa kampeni kalewa mbege na Kulala Chini ya mgomba 😂
Unakua limbukeni kama binti unaevunja ungo leo kutupostia chakula jamii forum,leo ndio umepata pesa ya kula nyamaAcha wivu wakike wewe, toa ada yako mapema.
Nilishangaa Kiwanda chake kugeuzwa "godi of down"Chibuku ya Unga 😄😄😄
Sio offer ya mwana mbogamboga kwa mjomba mwamba na genge lake kweli?Ama ni covid waliotolewa mboga mboga kwa mkopo wanarejesha kwa mjomba.Tuko hapa Machame, wilayani Hai mkoani Kilimanjaro na hivi, ndivyo tunavyozitumia pesa za kikoba cha mjomba.
Asitokee mtu wa kutaka kukipora kikoba chetu, labda akaanzishe chakwake.
Makamanda piiiipoooz (kwa sauti ya mjomba)
View attachment 3184644
View attachment 3184645
View attachment 3184646
Sasa nitoe ada halafu walaji wengine🤣🤣!Toa ada ya uanachama kamanda.
Mbege na bia tofauti si ni majina pekeeTBL wanatengeneza mbege? 🐼😂