Makamanda Endeleeni Kutoa Ada za Uanachama

Makamanda Endeleeni Kutoa Ada za Uanachama

Nyuzi chonganishi zimekuwa nyingi sana humu ni dalili kwamba chadema ni tishio. Mkuu Kila uzi wanalipa kiasi gani wengine nao wachamkie fursa maana moderator nao wanagonga chiaz visungura
 
Hata kama tuna mchukia hii kwenye msiba wa lowasa
 
Acha wivu wakike wewe, toa ada yako mapema.
Unakua limbukeni kama binti unaevunja ungo leo kutupostia chakula jamii forum,leo ndio umepata pesa ya kula nyama

Kula nyama kwako ndio unaona ufahari sana,ututangazie jamii forum

Acha umama wewe
 
Back
Top Bottom